Maisha ya mdudu (vunjachungu dume) si ya thamani tena kwa jike baada tu ya kujamiiana

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
Ni kwamba karibu robo ya matukio ambapo vunja chungu dume anapomkaribia jike basi huliwa. Na nyakati hatari zaidi kwa dume ni wakati wa tendo la kupandana.

images.jpeg


Wanapomaliza, ikiwa itatokea dume litaponea kuliwa, basi dume huanguka tu kwa kuishiwa nguvu kutoka kwa majike au huruka kabla hajakamatwa.


images (2).jpeg

(Dume lililoliwa kichwa kabla ya kumaliza tendo)

Ulaji nyama ya wao kwa wao baada ya kujamiiana ni jambo la kawaida miongoni mwa mantis ( vunja chungu), na watafiti wamehusisha tabia hii inatokana na kuhakikisha maisha ya jike na watoto wake.

images (3).jpeg


Katika vunjachungu majike muda mwingine hula tu wenzi wao wakati chakula kinapokuwa kichache ama hakipatikani kirahisi.

(Bora binadamu hatupo hivi, wengi sana tungepoteza maisha kitambo😂)
 
Daa.. kumbe kama dume la nyuki kufa baada ya kupanda jike… wanaume kweli bahati mbaya
 
Ni kwamba karibu robo ya matukio ambapo vunja chungu dume anapomkaribia jike basi huliwa. Na nyakati hatari zaidi kwa dume ni wakati wa tendo la kupandana.

View attachment 2425905

Wanapomaliza, ikiwa itatokea dume litaponea kuliwa, basi dume huanguka tu kwa kuishiwa nguvu kutoka kwa majike au huruka kabla hajakamatwa.


View attachment 2425900
(Dume lililoliwa kichwa kabla ya kumaliza tendo)

Ulaji nyama ya wao kwa wao baada ya kujamiiana ni jambo la kawaida miongoni mwa mantis ( vunja chungu), na watafiti wamehusisha tabia hii inatokana na kuhakikisha maisha ya jike na watoto wake.

View attachment 2425904

Katika vunjachungu majike muda mwingine hula tu wenzi wao wakati chakula kinapokuwa kichache ama hakipatikani kirahisi.

(Bora binadamu hatupo hivi, wengi sana tungepoteza maisha kitambo)


Dah hii ilikuwa dawa tosha ya kuepusha ngono zembe kwa binadamu maana lazima uhakikishe unafanywa dinner na yule wa kumoyo wako tu kusongekuwa na madada poa.. Imagine dada poa wangewageuza dinner wanaume wengi sana
 
Ni kwamba karibu robo ya matukio ambapo vunja chungu dume anapomkaribia jike basi huliwa. Na nyakati hatari zaidi kwa dume ni wakati wa tendo la kupandana.

View attachment 2425905

Wanapomaliza, ikiwa itatokea dume litaponea kuliwa, basi dume huanguka tu kwa kuishiwa nguvu kutoka kwa majike au huruka kabla hajakamatwa.


View attachment 2425900
(Dume lililoliwa kichwa kabla ya kumaliza tendo)

Ulaji nyama ya wao kwa wao baada ya kujamiiana ni jambo la kawaida miongoni mwa mantis ( vunja chungu), na watafiti wamehusisha tabia hii inatokana na kuhakikisha maisha ya jike na watoto wake.

View attachment 2425904

Katika vunjachungu majike muda mwingine hula tu wenzi wao wakati chakula kinapokuwa kichache ama hakipatikani kirahisi.

(Bora binadamu hatupo hivi, wengi sana tungepoteza maisha kitambo😂)
Kumbe madume sote tunafanana. Japo anajua kuwa mbususu inaweza mtoa roho bado anaenda tu.
Japo unajua kuwa mama Boneka anakupiga mizinga anakula mshahara wako mpaka unakaribia 50s huna hata kakiwanja lakini humwachi tu
 
Sasa si waache kwani lazma wakahatarishe maisha Yao wakati Kila mmoja anamuhtaj mwenzake?

Dah hii Kwa binadam
Ingekuww poa sana maana kusingekuwa na ngono zembe ba NO dada poa..
Imagine unageuzwa dinner na dada poa.. yaan mtu ungekuww unapiga kazi unatengeneza maisha ukiwa tayari to start a family unamtafuta kipenz chako
Cha moyo ambaye atakuja kukugeuza
Daku siku moja ( maana mkipenzika mid night wewe haitakuwa dinnee tena ila ni daku tu)

Ila ingezidisha wapiga nyeto tu na midoli
Bandia
 
Back
Top Bottom