chopeko
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 1,528
- 1,107
Kilichonifurahisha hapa ni kwamba kuna progress kwa kila stage ya maisha yake.
Ametoka mbali na amejitahidi kupakumbuka kwake yani alikotoka...hayo mengine tumwachie mwenyewe!! Ila Kagemulo (1986) kaniuzi sana twitter...dogo anatukana watanzania wote aisee.....si busara!!!!
Ametoka mbali na amejitahidi kupakumbuka kwake yani alikotoka...hayo mengine tumwachie mwenyewe!! Ila Kagemulo (1986) kaniuzi sana twitter...dogo anatukana watanzania wote aisee.....si busara!!!!