Maisha ya Kwamtogole shost anayashangaa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,266
Huyu shost nilisoma nae form three na four yeye alikuwa kule ambako phyisics na chemistry ni msamiati. Shost wa ushuani lakini huko mkoani. Amekuja mjini kuchukua passport na visa anataka kupanda pipa. Amenitafuta kwnye WhatsApp anaiomba akae kwangu kwani hata mji w nyewe haujui.

Shost anashangaa maisha ya huku kwetu, mpangaji mwenzangu anasafisha koo wakati anaoga shost ananiambia cinaamtia kichefu chef. Kama hiyo haitoshi nimemtuma mtoto akanunue vitafunio shost anashangaa eti kwanini tusinunue mkate supermarket. Haya ndiyo maisha yetu nyinyi wa ushuani.
 
Huyu shost nilisoma nae form three na four yeye alikuwa kule ambako phyisics na chemistry ni msamiati. Shost wa ushuani lakini huko mkoani. Amekuja mjini kuchukua passport na visa anataka kupanda pipa. Amenitafuta kwnye WhatsApp anaiomba akae kwangu kwani hata mji w nyewe haujui.

Shost anashangaa maisha ya huku kwetu, mpangaji mwenzangu anasafisha koo wakati anaoga shost ananiambia cinaamtia kichefu chef up. Kama hiyo haitoshi nimemtuma mtoto akanunue vitafunio shost anashangaa eti kwanini tusinunue mkate supermarket. Haya ndiyo maisha yetu nyinyi wa ushuani.
Nimependa namna ulivyo mpokea mgeni wako, angekua mwingine angejifanya hayupo Dar ili asidhalilike kutokana na mazingira anayoishi
 
Nimependa namna ulivyo mpokea mgeni wako, angekua mwingine angejifanya hayupo Dar ili asidhalilike kutokana na mazingira anayoishi
Ukweli unakuacha huru, useme hupo Dar mara mnafingana barabarani. Anashangaa nyumba haina sink la kunawia
 
USWAHILINI KWETU TENA ASHUKURU HUU MWEZI MTUKUFU LEO ANGEPATA BURUDANI YA KIGODORO IKINOGESHWA NA SINGELI PEMBENI FUL BURUDANI
MPITISHE AKALE NA MIGUU YA KUKU USISAHAU
 
kwamtogole... aisee kitambo sana, enzi izo tunakaa kijitonyama tulikua tukitaka kwenda kko bas mzee lazima ataptia njia ya kwamtogole....japo tulikua kwenye gari lakin nlikua nahisi kinyaa sana na kushangaa watu wa huko wanaishije,

Sipati picha sasa hivi pakoje.....heshima kwako chief.

Cc: Sky Eclat
 
kwamtogole... aisee kitambo sana, enzi izo tunakaa kijitonyama tulikua tukitaka kwenda kko bas mzee lazima ataptia njia ya kwamtogole....japo tulikua kwenye gari lakin nlikua nahisi kinyaa sana na kushangaa watu wa huko wanaishije,

Sipati picha sasa hivi pakoje.....heshima kwako chief.

Cc: Sky Eclat
Sikuizi usikii kinyaa tena?
Ndugu zangu watanzania kwa mfano mtu huyu kesho awe kiongozi wetu unazani anaweza kujua shida zetu kwa maneno kama hayo,na akasaidia jamii kabisa atawasaidia washua wenzake tu
samahani kwa kukutolea mfano kijana
 
kwamtogole... aisee kitambo sana, enzi izo tunakaa kijitonyama tulikua tukitaka kwenda kko bas mzee lazima ataptia njia ya kwamtogole....japo tulikua kwenye gari lakin nlikua nahisi kinyaa sana na kushangaa watu wa huko wanaishije,

Sipati picha sasa hivi pakoje.....heshima kwako chief.

Cc: Sky Eclat
Tupo mkuu na balozi wetu Diamnond ambae ni mfano halisi kuwa kuzaliwa Tandale si kufia Tandale
 
Huyu shost nilisoma nae form three na four yeye alikuwa kule ambako phyisics na chemistry ni msamiati. Shost wa ushuani lakini huko mkoani. Amekuja mjini kuchukua passport na visa anataka kupanda pipa. Amenitafuta kwnye WhatsApp anaiomba akae kwangu kwani hata mji w nyewe haujui.

Shost anashangaa maisha ya huku kwetu, mpangaji mwenzangu anasafisha koo wakati anaoga shost ananiambia cinaamtia kichefu chef. Kama hiyo haitoshi nimemtuma mtoto akanunue vitafunio shost anashangaa eti kwanini tusinunue mkate supermarket. Haya ndiyo maisha yetu nyinyi wa ushuani.
Mlete tandale hapa karibu na kituo cha polisi ili nimtembeze tembeze maeneo ya UWANJA WA FISI,hapo kwa Mtogole mbona Oysterbay au Masaki.Kuna maeneo huwa nikipita hadi najiuliza hawa Watanzania wanaishije huku.....
 
kwamtogole... aisee kitambo sana, enzi izo tunakaa kijitonyama tulikua tukitaka kwenda kko bas mzee lazima ataptia njia ya kwamtogole....japo tulikua kwenye gari lakin nlikua nahisi kinyaa sana na kushangaa watu wa huko wanaishije,

Sipati picha sasa hivi pakoje.....heshima kwako chief.

Cc: Sky Eclat
Mzee wenu alikuwa sahihi,alikuwa akiwaonesha upande wa pili wa maisha ya binadamu wenzenu,usidhani kwamba alishindwa kupitia makumbusho,victoria,kinondoni hadi Kariakoo, la hasha ni kutaka kuwaonesha kuna maisha nje ya Kijitonyama.
 
Usiku leo mwambie achelewe kulala kidogo na aisikie miguno ya kimahaba ya majirani-nyumba hazina ceiling board
Hivi uswahilini kuna miguno kweli?Nimeishi na naishi uswazi sijawah kusikia miguno, nnapotoka Tandale sokoni napitia kwa mtogole natokea Chama navuka kadaraja natokea makaburi ya kwa manjunju. Hope huko kote Sky Eclat anapafahamu
 
Back
Top Bottom