IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
1. Polisi - Kwanza katika watu ambao wanaishi maisha yasiyo na stress hasa katika umiliki wa vyombo vya moto ni askari polisi, wanabebana mno, kuna askari ambao tangu wanunue gari hawajui bima, wala kukamatwa barabarani.
Pia mambo yao mengi yanaenda vizuri kwa sababu wamepewa dhamani kubwa sana katika nchi hii.
2. Wafanyakazi bandarini, tanesco, tra tanroad na mashirika ya umma hawa jamaa hawaishi kwa kutegemea mshahara
Yaani kazini ndio mipango inafanyika yaani haiwezekani usipate hela, kila wiki itapatikana mishe tu, wanapiga pesa vilakilaki hivi vya mafuta ya gari ni kawaida sana.
3. Wanasiasa hususani kama anatamani kupata madaraka akikumbuka mil 11 kila mwezi na posho za kamati hatari
Maisha ya kustaafu uyasikie tu ndugu yangu mtafute mtu aliyekuwa na mamlaka muulize akupe story usijidanganye.
Watu wa aina hii wako wengi sana unaweza kuongeza list na shida yao inakuja wakistaafu wanaanza kuishi maisha halisi
1. Heshima hakuna tena vyeo hakuna nani atakuheshimu eti ulikuwa trafki?
2. Pesa za rushwa zinakoma.
3. Wanaanza kuishi kwa pension
Mahitaji yao yako juu kipato kidogo wanaishia kufa mapema.
Na wengi wao licha ya kula sana pesa haramu maisha yao ni ya kawaida.
Nimeshuhudia afisa mstaafu mwezi 1 baada ya kustaafu hali tete.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mambo yao mengi yanaenda vizuri kwa sababu wamepewa dhamani kubwa sana katika nchi hii.
2. Wafanyakazi bandarini, tanesco, tra tanroad na mashirika ya umma hawa jamaa hawaishi kwa kutegemea mshahara
Yaani kazini ndio mipango inafanyika yaani haiwezekani usipate hela, kila wiki itapatikana mishe tu, wanapiga pesa vilakilaki hivi vya mafuta ya gari ni kawaida sana.
3. Wanasiasa hususani kama anatamani kupata madaraka akikumbuka mil 11 kila mwezi na posho za kamati hatari
Maisha ya kustaafu uyasikie tu ndugu yangu mtafute mtu aliyekuwa na mamlaka muulize akupe story usijidanganye.
Watu wa aina hii wako wengi sana unaweza kuongeza list na shida yao inakuja wakistaafu wanaanza kuishi maisha halisi
1. Heshima hakuna tena vyeo hakuna nani atakuheshimu eti ulikuwa trafki?
2. Pesa za rushwa zinakoma.
3. Wanaanza kuishi kwa pension
Mahitaji yao yako juu kipato kidogo wanaishia kufa mapema.
Na wengi wao licha ya kula sana pesa haramu maisha yao ni ya kawaida.
Nimeshuhudia afisa mstaafu mwezi 1 baada ya kustaafu hali tete.
Sent using Jamii Forums mobile app