Bush mambo hizo starehe kibao.....debe la nini ngoma inaanza saa nne asbh hadi saa 12 asbh. Warembo naturally kijana..watoto wakali wa mijini wazazi wao walionwa wakali pia kijijini.Hata mimi laifu la bushi nalielewa sema entertainment kama kununua malaya,kuruka debe, kukutana na watoto wakali inakuwaga shida..................
Sijui kwakweli natani kurudi bush kwa kweli......Sasa mbona kila siku watu wanakimbilia mijini?!
Inategemea na kijiji ila kwa ujumla wake, vijijini ni sehemu nzuri ya kutembelea haswa kwa mapumziko ila kuishi moja kwa moja ni mtihani na ukitaka kulijua hili waangalie wakazi wake walivyochoka na maishaSasa mbona kila siku watu wanakimbilia mijini?!
Swali la msingi sana.Sasa mbona kila siku watu wanakimbilia mijini?!
Hapo nimeelewa maana watu wanaotoka vijijini kwenda mjini ni kubwa kuliko kinyume chake.Inategemea na kijiji ila kwa ujumla wake, vijijini ni sehemu nzuri ya kutembelea haswa kwa mapumziko ila kuishi moja kwa moja ni mtihani na ukitaka kulijua hili waangalie wakazi wake walivyochoka na maisha
Mjini kuona watu wanahesabu fedha ni jambo la kawaida........lakini kijijini thubutuuuuuuuu watu wanajificha kwenye kuhesabu fedha.......Ili uyafurahie maisha ya kijijini ni lazima uandae mazingira vizuri. Ukienda kijijini kichwa kichwa lazima upigike mbaya kabisa.
mjini kuona watu wanahesabu fedha ni jambo la kawaida........lakini kijijini thubutuuuuuuuu watu wanajificha kwenye kuhesabu fedha.......