Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,356
40,237
Maisha ya kijijini ni mazuri sana kuliko maisha ya mjini. Kijijini kuna vivutio vingi vya asili,na watu wake wana utu na umoja ukilinganisha na mjini.

Kijijini kuna hewa safi inayomuwezesha mwanadamu kuishi miaka mingi. Kijijini kuna watu wenye faraja.

Kijijini wana hofu ya mungu. Kijijini kuna umoja. Kijijini wapenzi wanapendana kikweli kweli.

Kijijini hudumisha mila za kusimuliana hadithi mbalimbali. Kijijini usaidiana kwenye shida.

Kijijini ukiwa na uhakika wa kupata mahitaji yako muhimu ni kuzuri n.k

Je, wewe unatamani kurudi kijijini?

1581425029386.png
 
Vijiji vimeisha pale vijiji vilivyoletewa dish na sim za touch kwisha hakuna tena sehemu inaitwa kijiji vyote ni miji kama hujui.

Halafu shida ni nyingi kama hospitali mbaya maji hakuna hakuna chochote kabisa .
 
Vijiji vimeisha pale vijiji vilivyoletewa dish na sim za touch kwisha hakuna tena sehemu inaitwa kijiji vyote ni miji kama hujui.

Halafu shida ni nyingi kama hospitali mbaya maji hakuna hakuna chochote kabisa .
Kakosea Uzi huyo. Labda angeongelea maisha ya manspaa na halmadhauri ukilinganisha na majiji.

Binafsi huwezi nipeleka sehemu ambako hakuna uhakika wa.
1. Usafiri
2.maji na umeme
3.fursa za kibishara
4.elimu na afya
5.huduma za kibank.
6.usalama wa watu na Mali zao.
 
Vijiji vimeisha pale vijiji vilivyoletewa dish na sim za touch kwisha hakuna tena sehemu inaitwa kijiji vyote ni miji kama hujui.

Halafu shida ni nyingi kama hospitali mbaya maji hakuna hakuna chochote kabisa .
Sasa nyie wenye nguvu mking'ang'ania mjini na kuwaacha wazee vijijini ni nani atakayeleta hayo maboresho ya huduma za kijamii
 
Kakosea Uzi huyo. Labda angeongelea maisha ya manspaa na halmadhauri ukilinganisha na majiji.

Binafsi huwezi nipeleka sehemu ambako hakuna uhakika wa.
1. Usafiri
2.maji na umeme
3.fursa za kibishara
4.elimu na afya
5.huduma za kibank.
6.usalama wa watu na Mali zao.
Njooni tulete hayo maendeleo
 
Back
Top Bottom