Maisha ya hawa wasanii wa bongo muvi mwaka mmoja baada ya Uchaguzi yakoje?

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,652
Hawa nyota wa bongo muvi ndio walikuwa mstari wa mbele kukata mauno ya ule wimbo pendwa wa sebene. Ningependa kujua maisha yao baada ya mwaka mmoja ya uchaguzi yakovipi. Kwa wale majirani zao na marafiki naomba mtujuze.

Kinachojulikana mpaka sasa hata biashara yao ya bongo muvi imedoda wengi wamedai kujiuzulu.

Zile mbwembwe za wema kujizawadia ndinga hazipo tena. Kwa kasi aliyokuwanayo nilidhani mwaka huu atajizawadia hata private jet. LIPSTICKS zake zilidoda akabuni mradi wa kuuza chupi sijui uliishia wapi.

Wao pia kama wamo humu watupe marejesho.
e6ac7b18c30a0a33eb354744eebebb79.jpg
cb7f51488a6c4a12f1bb062435bfdf2a.jpg

b7ff7675807dd7ec5b1d9588a57ccea0.jpg
5ba54947cfc8e7fdcf1d0ce80801d637.jpg
1b89ffec985afe06a54028545176e453.jpg
f0ca6dec3cf26b46d1621c7a6eba05ef.jpg
29231d0bb0fc9f44b7d7c31a10ec8247.jpg
2286146dbe71e11644e919068506cc79.jpg
560d070a3ebd5864cb9624ba8df5eb29.jpg
 
Wana haki ya kushabikia chama chochote wanachoona kinawafaa..Kwa hiyo ulitaka washabikie UKAWA ndio maisha yao yawe tofauti?
 
Mheshimiwa hapendi ujinga serikali na bongo movie wapi na wapi, wamtafute huyohuyo mchawi wao aliekua wa uenezi
 
Back
Top Bottom