Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
labda kibanda..siyo nyumba..gunia 30 kwa bei ya sasa ni shilingi ngapi?.. nashuku kwa kuwa kajua vingi akiwa jela..kulima kisasa,uhodari wa umeme,useremala
Kama unamiaka walau 40 hivi basi unaelewa hali ya Chakula vijijini ilikuwaje miaka ya tisini na ukichukulia value for money kwa bei ambayo angeuza hayo Mahindi na aina ya Nyumba ambazo wanajenga vijijini.