Maisha ya Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja mkandamizaji na waliokuwa comedian wenzake

ha haa...nimetaka kusema kitu lkn kimeishia kwenye ``lips``...hv mku unajua mtu anaweza kuwa na maisha mazuri lkn bado akawa na akili na roho za kimasikini?,kuna mwingine pia anaweza asiwe na maisha mazuri lkn akawa na roho na akili za kitajiri....sijui ni mm tu naliona hili?
Mimi nafikiri mtu kama ana maisha yake na hatunyimi pumzi kwanini tuwe concerned anavyoishi wakati hatumchangii chochote. Unajua wengi wanasahau maisha yao binafsi wanahangaika kutoa kasoro kwenye maisha ya wengine. Hiki kitu sikifagilii. Yaani mtu anakuwa so opinionated of how some one should live their lives. Unakuta mfano mtu anamtukana Gigy Money anasema Gigy money anakaa uchi au Gigy money malaya lakini ata the same time huyo nayo ana machafu yake anafanya ila yupo rahisi kuwahukumu wengine. Tanzania tuna unafiki wa kutoka tuonekane wema machoni kwa wengine huku tunafanya mabaya kwenye giza..Halafu tunakuwa wa kwanza kuwanyoonshea wengine vidole wajirekebishe..
 
acec402444683ad9f37e3658ee9c791b.jpg
 
ha haa...nimetaka kusema kitu lkn kimeishia kwenye ``lips``...hv mku unajua mtu anaweza kuwa na maisha mazuri lkn bado akawa na akili na roho za kimasikini?,kuna mwingine pia anaweza asiwe na maisha mazuri lkn akawa na roho na akili za kitajiri....sijui ni mm tu naliona hili?
Ni wewe tu
 
Kwanza sijajua hili kundi lipo au limekufa na kama limekufa ni sababu gani zimeliuwa kundi hili lililojizolea umaarufu mkubwa nchini tanzania

Kingine ni maisha ya wale comedian wengine wako wapi? Ukiacha Masanja ambae hivi sasa ni mchungaji na maisha yake ni ya hali ya juu.

260f332f07bf68ea051c0b79b09f8a51.jpg
ni ushamba tu huo. hivi Mengi au Bhakresa wangekuwa wanaonyesha maisha yao yote kama hawa wajinga, tungelala usingizi? wenye pesa na wana akili wametulia tu, ila limbukeni na wasio na akili wanapenda kweli kujionyesha.
 
Pesa anayo ila bado ana kaushamba fulani hivi hakajaisha bado
Hako kaushamba ndo kamekufanya umjue wewe ... We mjanja baki na ujanja wako" na aliwaambia mtaishia kupiga mipicha samaki samaki , badala ya kujishugulisha....
 
Katupiga sana gap sisi tunaotambia Vyeti vyetu na GPA zetu kubwa kutwa humu mitandaoni na mitaani tukisaidiwa na tu vi degree, vi masters na vi phd vyetu na uchungu unakuja zaidi kwamba Jamaa hana hata Kidato / Elimu kivile ila katusua na anatuburuza kweli.

Shikamoo Masanja!
 
Back
Top Bottom