bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Nazungumzia shilling, usije ukadhan nimemweka kundi 1 na kina Mo,wale ni trilionea.Masanja sio billionaire kijana....
Nazungumzia shilling, usije ukadhan nimemweka kundi 1 na kina Mo,wale ni trilionea.Masanja sio billionaire kijana....
Unaelewa maana ya kupangiwa na ushauri au unakurupuka sababu ya mapenzi yako kwake?Wewe umepeleka mangapi kijijini kwenu?anatafuta kwa jasho lake bila kusaidiwa acha atumie bila kupangiwa
Kwani wakati wa kutafuta ulimshauri?acha kujipendekeza kwenye Mali za watu utaolewa bila mahali ohoooUnaelewa maana ya kupangiwa na ushauri au unakurupuka sababu ya mapenzi yako kwake?
Risk analysis ndo shidaWachumi waoga wa maisha hahaaaa.matajiri wakubwa wengi walikimbia shule
Fanya na wewe upeleke madawati alaaa!! Sitakagi ujinga pesa zangu unanipangia matumizi??Analipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
Ukimuuliza huyo mtu kwamba ushamba wa Masanja nini utasikia anaseme "kujionyesha".. Tabia za maskini na kilofa za kutaka kuwapangia wengine waishi vipi. Utasikia fulani haringi kabisa au fulani ndo tajiri mwenye roho nzuri zote ni mindset za umaskini wa akili. Tabia ya maskini wa akili siku zote ni kutaka uwafurahishe waoo. Maskini wa akili wanataka ukiwa tajiri waweze kuku controlMkuu huenda hako `` kaushamba``` ndo kana mafanya awe na hela
Sio msukuma huyo mkuu ni mnyakyusaMsukuma haishagi ushamba mkuu.
Umenifanya nijitadhimini na Mimi kwa michepuko yangu kwa mwezi napoteza hela mingi mno lkn sijawahi kiwaza kuhusuAnalipia plate no 5M kwa mwaka! angepeleka madawati kijijini kwao watu si wangemshukuru sana?
Kama ni ulimbukeni basi hayuko pekee yake wako kibaoOhoo
Mbona Mr BEAN ana MKWANJA (pesa) toka Kitambo nae bado ni MSHAMBA....Pesa anayo ila bado ana kaushamba fulani hivi hakajaisha bado
Noted mkuuUmenifanya nijitadhimini na Mimi kwa michepuko yangu kwa mwezi napoteza hela mingi mno lkn sijawahi kiwaza kuhusu
Kule kijijini
Siyo mnyakyusa ni mbena mpangwa, origin yake ni Ludewa. Huko Ubaruku ameishi tu na ndiko anakolimia mpunga. Pia kisukuma na taratibu za wasukuma amezipatia huko Ubaruku Rujewa maana kuna wasukuma huko na pia amewahi kuishi Shinyanga.Sio msukuma huyo mkuu ni mnyakyusa
Wakuvanga ndo yule aloumwaga? Sa HV ye anajishigulisha na nn na regani jeMpoki yupo Efm Joti yupo Tigo na wakuvanga yupo apa dar
Asante kwa ufafanuz mkuu maana mm watu wa mbeya wote nawaitaga wantakyusaSiyo mnyakyusa ni mbena mpangwa, origin yake ni Ludewa. Huko Ubaruku ameishi tu na ndiko anakolimia mpunga. Pia kisukuma na taratibu za wasukuma amezipatia huko Ubaruku Rujewa maana kuna wasukuma huko na pia amewahi kuishi Shinyanga.