Anahojiwa Baba yake. Anaishi kwenye nyumba ya tope licha ya mwanawe kuwa bunge for 25 years,
Anaepnda sana kujisomea.
Anaongea kiswahili cha shida but ina mashaka na slaa kugombea hasa kutukanana
Ni mtanzania kama watanzania wengine..Hayo ndio maisha bora kwa kila mtanzania. Kuishi kwake kwenye nyumba ya udongo nani wa kulaumiwa kama si serikali. Angeishi kwenye nyumba mfano wa hekalu ccm wasingekosa cha kusema 'Dr. Slaa alikuwa mwizi.' Dr. Slaa kaza buti sisi tunakuombea kila la heri waache wenye kuchokonoa mambo hata yasiyo wahusu. TBC mkahoji wazazi wa JK,Lipumba na wengineo mbona Dr. Slaa peke yake kama si uhuni ni nini?
Eee! Mungu wa kweli wewe uwawekao wafalme wa dunia nakuomba usikie kilio cha wa tz waliao usiku na mchana, kama ulivyo wapa mfalme Daudi watumishi wako baada yakumkataa, Sauli tunakuomba umsaidie mwanao Dr. Slaa mtumishi wako anaetoa wakati na nafsi yake hata kufa kwa taifa lake Tanzania kuwaokoa wanyonge mil.45 ambao wamekuwa wakilia baada ya nchi kutekwa na kikundi kidogo sn ambacho kimeweka pembeni maadili mema yaliyowekwa na mtumishi wako Mwalimu na Dr. Nyerere, kumbuka hakuna wakusikiliza kio chetu ila wewe Mungu wa kweli, tunajua wazi wanauwezo wakila kitu kama vile majeshi yasiyoonekana kwa macho lkn wewe unanguvu zaidi ya hayo, hatutaogopa bali tutakutegemea siku zote, mjalie afya na maono kwa ajli ya watu wako.
Tusome 2nyakati 20.1-26 hatuna sababu yakupigana tunae Mungu anaesikiliza kilio cha watu wake.
Mungu ibariki TZ, mungu Mbariki mtumishi wako Dr. Slaa