Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,332
- 14,255
- Thread starter
- #301
Unatokea maeneo gani?Nimezaliwa mkuu sio tu kwenda. Yaani mimi hapo ni home kwenda ni muda wowote.
Unatokea maeneo gani?Nimezaliwa mkuu sio tu kwenda. Yaani mimi hapo ni home kwenda ni muda wowote.
Iringa road. Karibu na stendi ya SGR.Unatokea maeneo gani?
Kwani umeambiwa kuna mashamba ya kulima hapo? Fedha hubadilisha jangwa kuwa greenish. Singida hata Rais angepauka kwa upepo. Nyie zlisheni TU umeme wa upepo kwa ajili ya viwanda vya Mafuta ya alizetiUle mji ni jangwa sana hata haupendezi,Singida pangevutia.
Dom vitu ni ghali toka zamani, hasa vyakula masokoni nadhani ukame unachangia. Lodge na hotel za maana bado siyo nyingi kwa hiyo monopoly inachangia bei kuwa juu kiasi.
Zipo wapi nipe location naja kesho mkuuUlienda Dom ipi?
Mbona gesti za 10000 zipo tena karibu na mjini na wali wa buku jero upo pia
Bei ya mdudu kilo ni kuanzia 12,000Mkulungwa, unalinganisha bei ya bidhaa Dodoma na kipande kipi cha nchi. Bei ulizozitaja nikilingasha na DAR mbona ni za kawaida, mfano kilo ya mdudu kwa TZS 10,000