mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Ebu tutajie maprofessor watatu wa ARU tukuaminiARU ,kule baadhi ya masomo hayana mtihani
Course work70% halafu mwisho wa semester kunakuwa na presentation mbele ya wakufunzi wanakuuliza maswali kadri unavyopatia ndivyo unapewa marks ambazo kwa ujumla zina contribute 30%