Maisha wilayani Missenyi ni magumu

Wewe ni mbwa na nyie ndo watemi wenyewe full vijicho na roho mbaya shenzi kabisa


Huwezi kuzungumza kwa uhakika kuhalalisha kuwa watu walistahili kuchomewa nyumba na kukatiwa mazao yao na wengine kuuwawa kwa vitu vya kusadikika

Yaani umenikera mpaka mwisho na yawezekana hujui unachokizungumza

Hizi ishu zipo na ni aibu isiyosemwa wazee wa kujipamba mambo safi ilhali mioyo imeoza

Wasukuma waliofanyiwa hayo huko misenyi nao waliua kichawi?

Kuna familia zimepoteza makwao kwa husda za kishenzi kama hizi

Aliyefanikiwa uhayani ni mchawi halafu uko hapa unabwata eti huchomewi kirahisi lazima kuna namna,, nakuita mbwa tena na tena

Kama umeisho mijini huna haki yoyote ya kushutumu wahanga wa matukio haya sababu mijini tunajua huduma za kipolisi zipo karibu lakini huko bush watu wamefilisiwa kwa wivu na upumbavu huu,

utakuwa mchawi kweli kwa lugha hizi. halali kuchomewa nyumba. mbona wengiwe hawachomewi
 
Uzuri nimebahati kuishi wilaya tofauti tofauti hapa tanzania wilaya ya mpakani yeyote tena boda kubwa kama mtukula. Sirari na kwengineko hakuna Maisha magumu.kuna wilaya wanazalisha na hawana soko. Fanya utafiti upya isidanganya umma. Kuongea kilugha na sehemu zote bara isipokuwa ukanda wa pwani. Fanya kazi hacha uvivu.
Mkuu hayo uliyoyasema nimeyasikia leo.
Naifahamu Missenyi sana nadhani kuna kitu ulilenga kukipata huko ulipokikosa ndo ukaja na haya, lakini nikukumbushe kuwa.
1) Missenyi ina sehemu nyingi na aridhi kubwa sana ya kilimo na yenye rutuba na mvua za kutosha. Wana misimu miwili ya kulima kwa mwaka. Tofauti na maeneo mengi hapa nchini.
2) Aridhi ya huko mbali ya kwamba kwa mwaka inalimwa mara 2/ lakini huwa hawatumii mbolea hata kidogo( aridhi ina rutuba ya kutosha)
3)Mashamba ya miwa ya Kampuni ya Kagera Sugar, yanaeleweka na yana ukomo wake, ukiingia kwenye vijiji ukakuta kuna mashamba ya miwa jua haya ni mashamba ya watu binafsi tu.
4) Wanachi wa eneo hilo kwa asilimia kubwa hawategemei Kiwanda cha Sukari hata kidogo, yaani namba kubwa ya wafanyakazi wa kile kiwanda si wenyeji wa Missenyi, wafanyakazi walio wengi hutoka Wilaya ya Ngara, mkoa wa Kigoma pamoja na Mkoa wa Morogoro pia na wilaya ya Ukerewe.
5) Furusa Missenyi ni nyingi sana mbali na hicho kiwanda cha Kagera sugar pia na kiwanda cha Kahawa cha OLAM(ambacho kilifanya kazi kwa mda mfupi na kikafungwa japo sijui kama kimeshafunguliwa). Maisha ya wakaazi wa eneo hili hutegemea sana kilimo, ufugaji, uvuvi ndani ya mto Kagera, hutegemea sana biashara zinazofanyika kwenye mipaka ya Mutukula pamoja na mipaka ya Minziro, Bubare na Bugango yote mipaka hii inapakana na Uganda,
7) Pia katika shughuli za kiuchumi bado biashara zinafanyika sana hasa za mazao ya chakula ambazo mazao mengi hupata soko kwa wafanyakazi wa kiwanda cha Kagera . Vilevile mazao mengi hupata soko Bukoba mjini, na Uganda.
6) Mashamba ya miwa ya Kagera yaliyo mengi sana yako upande wa Magharibi mwa Wilaya hii na asilimia kidogo sana ni mashariki mwa Wilaya haswa kilipokuwa kiwanda cha Sukari cha zamani kabla hakijalipuliwa kwenye Vita ya Idd Amini. Hivyo sehemu za watu kulima ni nyingi sana na sidhani kama kuna mwananchi alishaingiliwa na kiwanda kuhusu aridhi ya kulima.
7) Lakini karibia mazao yote ya chakula hupatikana kwenye wilaya hii isipokuwa Mchele tu ndiyo haulimwi katika Wilaya ya Missenyi.
8) Haipo siku utasikia Missenyi ina njaa labda yatokee majanga mengine ya asili kama ilivyo ada kwa mkoa wa Kagera.
# Ni wilaya ambayo maisha yake yako chini sana na siyo gharama labda kwa mtu anayetaka mterezo tu.
# Naomba nikosololewe pale nilipoweka jambo ambalo halipo#
 
Tangaza fursa ila kwangu mimi sina mudi ya kurudi huko nina mwaka wa pili sasa nimehama jumla narudi sababu ni nyumbani tu vinginevyo ingewezekana kubadili kabila km tunavyobadili dini ningeshabadili
Aisee kuna mdau mwingine wamekata migomba yake na kuua mifugo .....wahaya kweli nuksi
 
Aisee kuna mdau mwingine wamekata migomba yake na kuua mifugo .....wahaya kweli nuksi
Pole, nimekulia uhayani na najua karibia kila kitu kuhush uhayani ukweli ni kwamba " MTU kukatiwa migomba huwa ni adhabu kwa watu wanofanya mambo ya kitisha katika jamii iliyo mzunguka, miongoni mwa mambo hayo sana sana ni UCHAWI, WIZI sugu, MAUJI ya watu na mambo mengine kama hayo. Haiwezekani MTU kukatiwa migombo au bila makosa kama hayo na mara nyingi wananchi huwa wanakuwa wamechoshwa na tabia kama hizo alafu vyombo vya dola huwa vimesha shindwa kuwadhibiti na ndipo wananchi hujichukulia sheria mkononi
 
Pole, nimekulia uhayani na najua karibia kila kitu kuhush uhayani ukweli ni kwamba " MTU kukatiwa migomba huwa ni adhabu kwa watu wanofanya mambo ya kitisha katika jamii iliyo mzunguka, miongoni mwa mambo hayo sana sana ni UCHAWI, WIZI sugu, MAUJI ya watu na mambo mengine kama hayo. Haiwezekani MTU kukatiwa migombo au bila makosa kama hayo na mara nyingi wananchi huwa wanakuwa wamechoshwa na tabia kama hizo alafu vyombo vya dola huwa vimesha shindwa kuwadhibiti na ndipo wananchi hujichukulia sheria mkononi
Kosa lake ni kumiliki ardhi kubwa kuliko wenzake. Halafu usitetee upumbavu kwa hoja mfu km ulizobainisha hpo juu, kwa mfano km suala LA uchawi unaanza vipi kujua MTU ni mchawi km we mwenyewe sio mchawi....ifikie kipindi wahaya muache tabia za roho mbaya na chuki dhidi ya watu waliowazid maisha
 
Kosa lake ni kumiliki ardhi kubwa kuliko wenzake. Halafu usitetee upumbavu kwa hoja mfu km ulizobainisha hpo juu, kwa mfano km suala LA uchawi unaanza vipi kujua MTU ni mchawi km we mwenyewe sio mchawi....ifikie kipindi wahaya muache tabia za roho mbaya na chuki dhidi ya watu waliowazid maisha
Unatetea usichokijua au unatetea kwa sababu zako binafsi, usifikiri haya ni mageni kutokea au huyo ndo wa kwanza, nakwambia hivi hayo mambo huwa yana msukumo ambao ni mikubwa na tabia ambaxo zimeichosha jamii nimeongelea mengi ambayo huweza kusababisha haya kutokea ila umezingatia uchawi, kwahiyo kwakuwa hatuna njia za kudhibitisha uchawi, unataka kutwambia kuwa uchawi haupo,? Mfno kwa taarifa iliyopo huyo jamaa wa huko kyerwa anasadikika karibia wananchi 200 walivamia tena mchana kweupe wakafanya kitendo hicho, je unaamini karibia watu woote 200 wanamuonea gere MTU mwenye ekari kumi tu? wangapi wanamiliki ekari zaidi ya kumi? ! Lakini unadhani hadi wanafanya unyama huo polisi walishindwa kufika? , unadhani viongozi wa vijijji/ mitaa hawakujua? Kwa taarifa iliyopo hadi jana hajakamatwa mhalifu hata mmoja unadhani serikali/ jamii imeshindwa walau kubaini MTU mmoja tu wa kusaidia upelelezi hadi wakakamatwa wote? Wewe kama ni MTU mzima uliwahi kujua ni kwanini kuna wakati wananchi hufika hatua ya kujichukulia sheria mkononi? Sitetei watu kufanya mambo kama haya, lakini nikukumbushe usiwe na mawazo mgando kuwa wananchi wanamuonea wivu eti kisa anamiliki ekari Kumi! Kuna watu wanamiliki ekari zaidi ya hapo na hawajawai kukumbwa na mambo kama hayo, usiwe MTU wa kukariri hisia upuuzi.
 
Shida pia ni kwamba ile wilaya haina watu kabisa.....niliwahi kufika eneo moja linaitwa kanyigo.yani unakaa road mda mrefu sana ndo anapita mtu mmoja
 
Unatetea usichokijua au unatetea kwa sababu zako binafsi, usifikiri haya ni mageni kutokea au huyo ndo wa kwanza, nakwambia hivi hayo mambo huwa yana msukumo ambao ni mikubwa na tabia ambaxo zimeichosha jamii nimeongelea mengi ambayo huweza kusababisha haya kutokea ila umezingatia uchawi, kwahiyo kwakuwa hatuna njia za kudhibitisha uchawi, unataka kutwambia kuwa uchawi haupo,? Mfno kwa taarifa iliyopo huyo jamaa wa huko kyerwa anasadikika karibia wananchi 200 walivamia tena mchana kweupe wakafanya kitendo hicho, je unaamini karibia watu woote 200 wanamuonea gere MTU mwenye ekari kumi tu? wangapi wanamiliki ekari zaidi ya kumi? ! Lakini unadhani hadi wanafanya unyama huo polisi walishindwa kufika? , unadhani viongozi wa vijijji/ mitaa hawakujua? Kwa taarifa iliyopo hadi jana hajakamatwa mhalifu hata mmoja unadhani serikali/ jamii imeshindwa walau kubaini MTU mmoja tu wa kusaidia upelelezi hadi wakakamatwa wote? Wewe kama ni MTU mzima uliwahi kujua ni kwanini kuna wakati wananchi hufika hatua ya kujichukulia sheria mkononi? Sitetei watu kufanya mambo kama haya, lakini nikukumbushe usiwe na mawazo mgando kuwa wananchi wanamuonea wivu eti kisa anamiliki ekari Kumi! Kuna watu wanamiliki ekari zaidi ya hapo na hawajawai kukumbwa na mambo kama hayo, usiwe MTU wa kukariri hisia upuuzi.
Sishangazwi na utetezi wako kwa sababu wahaya nawajua very well. Roho mbaya, wivu usio na kichwa wala miguu ni sehemu ya utamaduni wenu
 
Sishangazwi na utetezi wako kwa sababu wahaya nawajua very well. Roho mbaya, wivu usio na kichwa wala miguu ni sehemu ya utamaduni wenu
Kwani huo unaoiuita wivu kwa huyo bwana yeye hakuwa mhaya?? Nonsense
 
utakuwa mchawi kweli kwa lugha hizi. halali kuchomewa nyumba. mbona wengiwe hawachomewi
Nina acre 100 za miwa maeneo ya kyaka na kila mwaka napokea cheque kutoka kagera sugar..( out grower).. lakini sija experience hizo mambo za kuchomewa mashamba wala mifugo kuuawa.. kuibiwa sawa, na wizi ni kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom