Hilo ndilo swali nalojiuliza kila siku na kukosa majibu.kwa nini ujiue wakati una option ya kuachana nae?
au imekaaje?
Bado upo ktk ndoa au ushapiga chini??Nimekutana na uzi huu nikaona kabisa ni mimi naguswa. Nafikiria kujiua nina 25 yrs nimeolewa sina hata miez sita ila ninayoyapitia sijui tu natamani kujiua ila nikimfikiria baba na mama yangu wanavyonipenda nashidwa kbs kwani sijui mama atakuwa na hali gani kwa namna anavyonipenda.naandika haya machozi yakiwa yananitoka.namuhitaji MUNGU KWA KWELI.
Umeolewa???Nimekutana na uzi huu nikaona kabisa ni mimi naguswa. Nafikiria kujiua nina 25 yrs nimeolewa sina hata miez sita ila ninayoyapitia sijui tu natamani kujiua ila nikimfikiria baba na mama yangu wanavyonipenda nashidwa kbs kwani sijui mama atakuwa na hali gani kwa namna anavyonipenda.naandika haya machozi yakiwa yananitoka.namuhitaji MUNGU KWA KWELI.