siku zote mtu anapotaka kuchukua hatua ya kujiua anakuwa hayupo sawa kiakili kwa wakati huo...just imagine mtu anayeumwa au mahututi amepata ajali the only wish these people will have is to live one day longer and make a difference in their lives....we humanbeings are selfish and we are not so good at appreciating what we have unless we loose it then we realize how important that thing was but ofcourse it will be too late ...live your life like you deserve it,cherish every single moment of it cause some people wish to have half of what you have!I dont have a perfect life but i love my life!unajua watu wengi huwa tunafikiria pains and suffering are not for us!!. huwa tunakuwa very optimistic, sijui ni kwa nini. tunakuja kujua kwamba kumbe hili hata mimi linaweza kunipata ikiwa kuchelewa tayari. wengi tunajua life is not fair but we don't accept the fact!
aisee dada nimempenda dada ako kweli amekupendaNimewahi once,aliniokoa dada yangu baada ya kuniweka chini na kuanza kunipa facts kuhusu maisha bila huruma wala kunibembeleza. Nilikuwa nalia lakini akawa kama machozi yangu hayaoni,akanipa ukweli then akawaita watoto wangu akaniambia kama umeona hutaki tena kuishi hata kwa ajili ya hawa watoto basi waue wao kwanza halafu wewe ufate maana ukiwaacha hakuna wa kuwalea.
Niliumia,nikamuona katili lakini alinitibu.
aisee dada nimempenda dada ako kweli amekupenda
hata mm nimewahi kufikiria kujiua tena mwezi uliopita baada ya kugombana na demu wangku na kutaka kumchoma kisu,,nilitaka kumuua yeye na mm nijiue,,ila baadae nikapata ushauri wa kisaikolojia na washikaji ndo hali ikatulia,,ila bado nina mpango wa kumfanyia kitu kibaya
huyo mwanamke,,[/Q
Duh"!"!!!!!!!"!umeniogopesha kwa kweli
Wewe bado unahitaji msaada wa kisaikolojia!hata mm nimewahi kufikiria kujiua tena mwezi uliopita baada ya kugombana na demu wangu na kutaka kumchoma kisu,,nilitaka kumuua yeye na mm nijiue,,ila baadae nikapata ushauri wa kisaikolojia na washikaji ndo hali ikatulia,,ila bado nina mpango wa kumfanyia kitu kibaya huyo mwanamke,,
hata mm nimewahi kufikiria kujiua tena mwezi uliopita baada ya kugombana na demu wangu na kutaka kumchoma kisu,,nilitaka kumuua yeye na mm nijiue,,ila baadae nikapata ushauri wa kisaikolojia na washikaji ndo hali ikatulia,,ila bado nina mpango wa kumfanyia kitu kibaya huyo mwanamke,,
like like likeSijawahi kufikiria kujiua na ni kwasababu i have strong belief and suicide is against my belief....I have been through a lot of misery in my life but i believe i am gifted this life for some reasons so i wouldn't give it up in return for anything...ONLY THE ONE WHO GAVE ME THIS LIFE CAN TAKE IT!!...
Even when i am so down,i want something so bad I´LL DO MY BEST,try every safe option available for me so that i wont have regrets later that i could do something better or try harder...And its incredible who much i might be to willing sacrifice just to achieve my goals...That ideology keeps me strong!And i always pray and thank my god for everything even if its pain or misery....Cause GOD knows whats best for me!!!