Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
Nimewahi tena mara nyingi na bado mawazo hayo hunijia, hali inakuwaga mbaya hadi nafiikiriaga kutumia unga sema hizi coctail za bongo ni kujiongezea matatizo, mwisho naamua kupiga gambe tu.
Ila nikifikiria watu kama nabii Daniel na Ayubu naona yanayonipata si kitu ukilinganisha. pia naona kujiua ninakuwa kama msaliti kwa ndugu zangu (kwa sisi ambao ndugu wanatuangalia kwa macho ya matumaini).
Kama na wewe mwana MMU umewahi fikiria hivyo tuhabarishe kwanini hukujiua na mbinu gani ulitumia ku cope? (hakuna haja ya kusema kwanini ulifikiria kujiua)
Ila nikifikiria watu kama nabii Daniel na Ayubu naona yanayonipata si kitu ukilinganisha. pia naona kujiua ninakuwa kama msaliti kwa ndugu zangu (kwa sisi ambao ndugu wanatuangalia kwa macho ya matumaini).
Kama na wewe mwana MMU umewahi fikiria hivyo tuhabarishe kwanini hukujiua na mbinu gani ulitumia ku cope? (hakuna haja ya kusema kwanini ulifikiria kujiua)