Mwasongola
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 149
- 108
Unajua hapa mtoa maada amehusianisha low class na high class: Jaribu kuielewa vizuri low class!Kuna wengine hawataki kujishughulisha kutwa kupiga vizinga kwa nini usikimbiwe.
Unajua hapa mtoa maada amehusianisha low class na high class: Jaribu kuielewa vizuri low class!Kuna wengine hawataki kujishughulisha kutwa kupiga vizinga kwa nini usikimbiwe.
KIJANA KUWA MZALENDO. IPENDE TANZANIA. USITUMIKE KUICHAFUA NCHI YAKO.
Labda kitu ambacho sikipendi ni lawama tu lakini kuombwa napenda sana, kama ninacho nitakupa hata kama siyo ndugu yangu. Siyo vizuri kumtenga mtu kwa sababu ya shida zake. Kutoa ni jambo jema sana, hata Mungu anapenda. Kama hutaki kumsaidia basi kaa na mali zako na uchoyo wako lakini siyo kumchukia mtu kisa kakuomba jamani!!!
Labda kitu ambacho sikipendi ni lawama tu lakini kuombwa napenda sana, kama ninacho nitakupa hata kama siyo ndugu yangu. Siyo vizuri kumtenga mtu kwa sababu ya shida zake. Kutoa ni jambo jema sana, hata Mungu anapenda. Kama hutaki kumsaidia basi kaa na mali zako na uchoyo wako lakini siyo kumchukia mtu kisa kakuomba jamani!!!
ukikutana na jumbe ndio umwambie shida yako ,nikimwona tuu mzinga hapo hapo
Tufahamiane kwanza inboxBasi nami naomba
Hahaa au jamaa hujawasiliananae mda sana anakupigia simu swali la kwanza "anakuuliza uko wapi sikuhizi?"
Ivi kuna marafiki walokua marafiki sababu ya pesa???
Kwan wanapoomba hzo hela baada ya kuzizungusha ktk biashara zao c wanarudisha mikopo ya watu huwez fananisha na wapiga mizinga ambao hawarudishi na cku zote n wahitaji! Tajir yeye akikopa anakuza business yake na alichofanya kinaonekana ila Kwa wapigaji hakionekani anachofanya zaid ya Kulia shida tukuomba hela ni jambo la kawaida sana kwa kuwa hata hao matajiri wanaomba kwa kukopa benki.
Tufahamiane kwanza inbox