Maisha ughaibuni

mawazomazito

New Member
Dec 26, 2020
2
0
Naona maisha ya Ulaya ni kama kucheza kamali, unaweza kutoboa au ukawa kwenye hali mbaya zaidi ya ulivyokua Tanzania.

Kwa mfano nimeona hii nyaraka inazagaa WhatsApp huyu jamaa, Evith Philbert, mimi namjua alikuwa mchapa kazi sana kabla hajaenda nje. Ila nasikia sasa hana kazi, anaishi kimjini zaidi.

Naona ana madeni mpaka basi na hana mali yeyote. Ila naona kwenye mitandao ya kijamii toka zamani anaonekana anaweka picha za kujionesha kuwa ana maisha mazuri. Hivi kwa mlioko nje maisha ya huko ni magumu sana au nini hasa shida?

Na, swali langu lingine kwenu je utabaki Ulaya hata kama mambo hayaendi au utarudi tu Tanzania ujijenge upya?

Soma hiyo nyaraka halafu embu tulijadiri hili vijana wenzangu.
 

Attachments

  • Madeni ya watu (2).pdf
    210.2 KB · Views: 64
Jamaa kaishi nje karibia miaka kumi ila amedeclare bankruptcy anasema anamadeni ya zaidi ya milioni mia moja na hana assets wala kazi ya kulipa.
 
Hii si document ya mtu ya siri!!

Jamaa ametanganza amefilisika....kwani kufilisika si unafilisika popote Duniani.
 
Nikweli kbs kufilisika nipopote tu,lkn jamaa ame amua kumtangaza kbs hhhh......wabongo hhh
Hii si document ya mtu ya siri!!

Jamaa ametanganza amefilisika....kwani kufilisika si unafilisika popote Duniani.
 
Hivi tangu lini maskini akafilisika?? atafirisika nini sasa???? kufirisika kwa tajiri ni umillionair wa maskin acha kabisa!!...tunao firisika ni sisi matajiri wenye ukwasi!! yaani nihela tu itaisha kwenye mzunguko wangu!! lkn mighorofa yangu iko palepale!!!

AKILi ya utafutaji iko palepale!! connection zangu ziko palepale sasa nini
 
Back
Top Bottom