Maisha siyaelewi kabisa kwaherini

Kuna nyakati mkuu life linakupga mpaka unahisi dunia imekutenga acha tu niliwahi hisi hvyo kpnd flani acha tu lakn kutokana na roho ngumu na kuwa karbu na mwenyezi mungu hali ile nikaishnda lakn ni hali ambayo hutokea,ni mbaya sanaa mkuu lakn ukikaa na mzunguko wa watu na kumshikilia bwana awe mwokozi wako kila wazo baya litakuondoka na kujihisi mpya kabsaaaa.
Kwa hali sasa tunao weng sanaa wanaofkia hatua hii mbaya.
Watu wanaojiuwa uwa sitoi pole wala mackitiko,,,apo unajikatia tiketi ya jahannam,,,majuto ni mjukuu.
 
Ngoja niseme jambo kwa ufupi wenye kukidhi haja, kuna kipindi inabidi tuelezane ukweli, na tuweke kila jambo mahali pake.

Naandika nukta kadhaa ili kuweka wazi ninacho kilenga.

Nukta ya kwanza :

Aliedhamiria kujiua apewe nasaha

Yeyote anae taka kujiua huwa anahisi ana sababu ya kufanya hivyo, ila kiukweli hana sababu ya kufanya hivyo, bali ni ujinga na kukata tamaa.

Mtu huyo anapaswa kuulizwa kwa upole na huruma, kwanini anataka kujiua, majibu yake hayatoki nje ya sababu mbili nilizo zitaja hapo juu, yaani ujinga na kukata tamaa, na hakuna haki ya mtu kujiua. Huyu anatakiwa kupewa mifano na kunasihiwa, sababu kuna watu wana shida kuliko yeye lakini hawajiui na wanaishi, kisha apewe tofauti kati ya fukara na masikini. Kisha asonge mbele.

Maskini ni yule ambae hana kipato ila ana viungo vyake, kwavyo anaweza kuvitumia kupata rizki, kama shida ni kipato au kazi basi asaidiwe, na Fukara ni yule ambaye amekosa mali na amekosa baadhi ya viungo vya mwili kwavyo angevitumia kujiingizia kipato,huyu lazima asaidiwe.
 
Nimependa ulivyotoa la moyoni kwa njia ya kawaida kabisaaaa ,,hakika ww si jiwe ww ni mwamba imara!
Mkuu kama utaona ujumbe wangu huu ?! upo wapi ebu njoo pm tafadhari nini kilicho kusibu ?
Nina jamaa yangu juzi tu kakimbiwa na mkewe pamoja na mtoto na vyombo vyote !! Nina rafiki yangu ana degree ya uchumi anachoma maandazi ukimweka momara pembeni Mkuu njoo ujionee navyoishi geto naishi kwa kuchotea majirani maji malipo yangu chakula, na beba takataka ,nakata fensi ya michongoma, nafanya shughuli za kufagia kwenye majumba ya watu malipo chochote nachopewa Mkuu bado nina changamoto kibao za kimwili (disability) , Mkuu life is nzoronzoroganza

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu najitahidi kujituma nafanya kazi NGUMU ya bahari ila kila nnnalofanya naona sielewi siwezi eleza mengi ntajitosa usiku huu baharini.

Nimevumilia nimeshindwa alie karibu atapata taarifa ya MTU kujitosa baharini nawatakieni mema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikusimulia ninayipitia kwasasa, unaweza kujiona una raha. Usithubutu mkuu.
 
Aahh kwemda zako
Kwa vigezo gan upewe Connections ?

Achana na mods
Kuna swali tamu uliniuliza nimesahau aisee

Hujui tu nilivyo mtu mzito 😂😂

Nilikuuliza mbona hujawahi kuja?ama hujawahi kupatwa na mabaya?
 
Hujui tu nilivyo mtu mzito

Nilikuuliza mbona hujawahi kuja?ama hujawahi kupatwa na mabaya?
Hahahhah Sawa nakubali inabidi nipambane Sana kufikia level zako

Ahaaaa
Nimewahi jamani kaangalie
Always things do not going(hayaend)

Lkn najihurumie kuja mara kwa Mara na sikuoni si ntaumia zaidi
 
"I know it seems hard sometimes but uh
Remember one thing...
Through every dark night, there's a bright day after that. So no matter how hard it gets, stick your chest out,
Keep your head up, and handle it"

ME AGAINST THE WORLD - 2pac Mutulu Shakur.

-Kaveli-
 
Baharia usirudishe jezi please.

Ukisikiiza hardships za wengine hapa duniani, waeza jiona una afadhali.

Dunia uwanja wa masumbwi. As long as you are fully healthy (physically and mentally) na unapumua vizuri, endelea kukaza jombaa!

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom