katika kuthibitisha kile ambacho kimekuwa kikihisiwa na baadhi ya watu juu ya ushiriki wa dada zetu katika matukio mbali mbali ya ulimbwende nk kuwa ngono ni kigezo muhimu na wahusika huruka vihunzi mita 1000 mara wanapo ulizwa juu ya tuhuma hizo, ukweli unazidi kudhihirika kuwa yawezekana kweli ngono ni kigezo muhimu kwa mengi ya mashindano hasa yanayohusisha wasichana.
Haya yamefahamika baada ya chanzo cha habari hii chenye uhakika kuthibitisha kuwa ndani ya Maisha Plus ngono nje nje! na wanaoongoza kwa ngono ni viongozi waandamizi wa maisha Plus akiwemo Kp. habari zaidi zinasema ni hatari sana kwa mshiriki wa kike akitakiwa na viongozi hao na yeye kukataa kata kata lakini kibaya zaidi washiriki wanaishi maishi double standard ikiwa ni pamoja na wengine kuwa na access na nje ya kijiji, kwa wale wanaofuatilia mchezo huu watakumbuka katika kutajana majina kwa mara ya mwisho mshiriki Neema kutoka Tabora alimtaja mshiriki wa Shinyanga Neema(washinyanga) kuwa anapata taarifa za nje hali ambayo kipanya alimaliza mahojiano hayo haraka haraka na wakati mshiriki Kawther msomali kutoka Dar kuna siku wakati amepona kwenye eviction alipata kusema kuna mengi yanayotendeka nyuma ya pazia ambayo si rahisi kwa watu wa nje kuyaona na kuyajua! lakini pia siku chache zilizopita mshiriki mwingine alipata pia kusema Maisha Plus bila ukimwi inawezekana, hii ni kwa wale wanao fuatilia saaana mchezo huu watakuwa wamepata kusikia haya taarifa mpya kutoka maisha Plus zinadai kuwa Mshiriki Neema wa Shinyanga ni kipenzi cha Kp wanapika na kupakua pamoja kila uchao kibaya zaidi vinywaji kama vile pombe nk ambavyo Kp huletewa kama kiongozi mara kwa mara kama si kila siku basi hutumia nafasi hiyo pia kumpa Neema wa shinyanga ili aburudike nae na habari zimevuja kuwa Neema wa shinyanga ndiye mshindi wa Maisha Plus 2010! na Kp ana mawasiliano ya karibu kila siku na baba wa Neema shinyanga ambaye taarifa zinadai mawasiliano yake na benki si mabaya sana na muda huo Neema pia huutumia kuwasiliana na rafiki na watu mbali mbali.
HONGERA KIPANYA! HONGERA NEEMA SHINYANGA!
Haya yamefahamika baada ya chanzo cha habari hii chenye uhakika kuthibitisha kuwa ndani ya Maisha Plus ngono nje nje! na wanaoongoza kwa ngono ni viongozi waandamizi wa maisha Plus akiwemo Kp. habari zaidi zinasema ni hatari sana kwa mshiriki wa kike akitakiwa na viongozi hao na yeye kukataa kata kata lakini kibaya zaidi washiriki wanaishi maishi double standard ikiwa ni pamoja na wengine kuwa na access na nje ya kijiji, kwa wale wanaofuatilia mchezo huu watakumbuka katika kutajana majina kwa mara ya mwisho mshiriki Neema kutoka Tabora alimtaja mshiriki wa Shinyanga Neema(washinyanga) kuwa anapata taarifa za nje hali ambayo kipanya alimaliza mahojiano hayo haraka haraka na wakati mshiriki Kawther msomali kutoka Dar kuna siku wakati amepona kwenye eviction alipata kusema kuna mengi yanayotendeka nyuma ya pazia ambayo si rahisi kwa watu wa nje kuyaona na kuyajua! lakini pia siku chache zilizopita mshiriki mwingine alipata pia kusema Maisha Plus bila ukimwi inawezekana, hii ni kwa wale wanao fuatilia saaana mchezo huu watakuwa wamepata kusikia haya taarifa mpya kutoka maisha Plus zinadai kuwa Mshiriki Neema wa Shinyanga ni kipenzi cha Kp wanapika na kupakua pamoja kila uchao kibaya zaidi vinywaji kama vile pombe nk ambavyo Kp huletewa kama kiongozi mara kwa mara kama si kila siku basi hutumia nafasi hiyo pia kumpa Neema wa shinyanga ili aburudike nae na habari zimevuja kuwa Neema wa shinyanga ndiye mshindi wa Maisha Plus 2010! na Kp ana mawasiliano ya karibu kila siku na baba wa Neema shinyanga ambaye taarifa zinadai mawasiliano yake na benki si mabaya sana na muda huo Neema pia huutumia kuwasiliana na rafiki na watu mbali mbali.
HONGERA KIPANYA! HONGERA NEEMA SHINYANGA!