RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Pichani Santi Carzola akiwa na Isco katika timu ya Malaga ya Spain...pembeni ya Uwanja kuna Dogo Muokota Mipira (Ball Boy) anawashangaa.
Ball Boy huyu ni Brahim Diaz",Mchezaji Mpya Wa Real Madrid aliyesajiliwa katika dirisha hili la January sasa atacheza na huyo Isco.
#Note: Sio kila Muda Maisha ni Safari kuna Muda yanakuwa Amarula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ball Boy huyu ni Brahim Diaz",Mchezaji Mpya Wa Real Madrid aliyesajiliwa katika dirisha hili la January sasa atacheza na huyo Isco.
#Note: Sio kila Muda Maisha ni Safari kuna Muda yanakuwa Amarula.
Sent using Jamii Forums mobile app