Superfly
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 966
- 1,966
Habari za muda huu wakuu.
Katika hali ya kupambana na maisha, siku chache zilizopita nmepata nafasi ya kuingia jijini Mbeya kwa lengo la kutafuta namna ya kujikwamua kiuchumi.
Hivyo basi naomba kwa Wenyeji wa Mkoa wa Mbeya mnipe mawazo yenu: Biashara gani ninaweza nikaifanya na ikaonesha mafanikio kwa kipindi kifupi? Yaani atleast nikaingiza hata 5000/= kwa siku?
Usisite kutoa wazo lolote lile unalohisi linaweza kuwa na manufaa kwangu.
KARIBUNI
Katika hali ya kupambana na maisha, siku chache zilizopita nmepata nafasi ya kuingia jijini Mbeya kwa lengo la kutafuta namna ya kujikwamua kiuchumi.
Hivyo basi naomba kwa Wenyeji wa Mkoa wa Mbeya mnipe mawazo yenu: Biashara gani ninaweza nikaifanya na ikaonesha mafanikio kwa kipindi kifupi? Yaani atleast nikaingiza hata 5000/= kwa siku?
Usisite kutoa wazo lolote lile unalohisi linaweza kuwa na manufaa kwangu.
KARIBUNI