Maisha ni kutafuta: Nahitaji Msaada wa mawazo yako ndugu

Superfly

JF-Expert Member
Jul 14, 2013
966
1,966
Habari za muda huu wakuu.

Katika hali ya kupambana na maisha, siku chache zilizopita nmepata nafasi ya kuingia jijini Mbeya kwa lengo la kutafuta namna ya kujikwamua kiuchumi.

Hivyo basi naomba kwa Wenyeji wa Mkoa wa Mbeya mnipe mawazo yenu: Biashara gani ninaweza nikaifanya na ikaonesha mafanikio kwa kipindi kifupi? Yaani atleast nikaingiza hata 5000/= kwa siku?

Usisite kutoa wazo lolote lile unalohisi linaweza kuwa na manufaa kwangu.

KARIBUNI
 
Habari za muda huu wakuu.

Katika hali ya kupambana na maisha, siku chache zilizopita nmepata nafasi ya kuingia jijini Mbeya kwa lengo la kutafuta namna ya kujikwamua kiuchumi.

Hivyo basi naomba kwa Wenyeji wa Mkoa wa Mbeya mnipe mawazo yenu: Biashara gani ninaweza nikaifanya na ikaonesha mafanikio kwa kipindi kifupi? Yaani atleast nikaingiza hata 5000/= kwa siku?

Usisite kutoa wazo lolote lile unalohisi linaweza kuwa na manufaa kwangu.

KARIBUNI
Jaribu kutafuta tshirt mtumba sijui kwa huko Mbeya wanauzaje ziwe kali plain ukipata V au round kola zenye kimfuko itakua freesh.Usizifue zipige pasi hivo hivo ,size chukua L .Ingia kila chuo hapo Mbeya kila ofisi .Kama utanunua kwa buku 4 uza buku 6.
 
Jaribu kutafuta tshirt mtumba sijui kwa huko Mbeya wanauzaje ziwe kali plain ukipata V au round kola zenye kimfuko itakua freesh.Usizifue zipige pasi hivo hivo ,size chukua L .Ingia kila chuo hapo Mbeya kila ofisi .Kama utanunua kwa buku 4 uza buku 6.
Sawa sawaa.. Ahsante kwa ushauri
 
Kilimo mkuu jumua mihogo kutoka tukuyu lete mbeya au anza kukaanga sehemu ukosi pesa, ukiwa na mtaji mkubwa tafuta Bajaji au boda ukosi hiyo pesa,

Wahi asubuhi maeneo ya mnada wa ccm ukiwa na laki na nusu kodii eneo fungua belo nguo za kike hutojutia uwezi kosa faida 15 kwenda juu kazi ya masaa tu,

Kila lakheri, mtafutaji achoki akichoka kapata, maisha ni mapambano.
 
Back
Top Bottom