Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Maisha ni kama mchezo wa riadha yaani pale unapoona wenzako wanakata tamaa ndio fursa yako yakushinda ukiongeza juhudi,ooh maisha magumu!kwahiyo tujifungie ndani tusubiri kufa au tupambane na hali zetu!