Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,819
Häbari zenu ndugu zangun wanajf.ni furaha na kumshukuru mungu kwa kutuwezesha kukutana tena.nipo hapa tena nikihitaj mchango wa mawazo yenu...Miaka miwili iliyopita nilikuwa na mahusiano na kijana mmoja,alijitahidi kuonyesha ananipenda lakini mi nilikuwa simwamini kama mjuavyo watu wapole wa livyo,unaweza ukajiaminisha hafanyi kumbee balaa.
Yule kijana anampenda sanaa mamake,mamake yupo nje ya mkoa tunaoishi lakini yule mama atafunga safar mara3 kwa mwezi akidai anakuja kufunga mzigo wa biashara..
Sikatai kumpenda mzazi lakini baadae ilinitia viulizo,kijana yule mara kwa mara alikuwa akiniambia yuko tayar kumwacha mke wa ndoa kwajili ya mamake(hajaoa bado)endapo mamake atasema amwache,au mwanamke akizingua kwajili ya mamake,nikaliweka moyoni.
Kingine yule mama alikuwa akifika anafikia gest, kijana yule kazi hazitafanyika atataka siku nzima ashinde gest kwa mamake mpaka sa6 usiku..mamake akipiga simu ananiambia nisiongee mamake asisikie saut ya kike..kilichonishangaza na kunipa maulizo,yule kijana ananyumba kubwa tu,kwanini yule mama asifikie kwa mwanae?
Kifupi mamake akitua tu,muda wa kukutana na kijana haupo...jaman,nikaona hapa sipawez nikachapa mwendo bila kuaga nikabadili na nr ya simu..Nashangaa yule kijana ananitafuta tena kupitia rafiki zake anadai ananihitaj,tisa kumi akapata nr na kunipigia ananiambia anataka kunioa...na mama yake sio kama kafariki bado yupo.hiyo ndoa si itakuwa shida.
Hebu nisaidien, huo upendo wa mama uko sahìhi?
Yule kijana anampenda sanaa mamake,mamake yupo nje ya mkoa tunaoishi lakini yule mama atafunga safar mara3 kwa mwezi akidai anakuja kufunga mzigo wa biashara..
Sikatai kumpenda mzazi lakini baadae ilinitia viulizo,kijana yule mara kwa mara alikuwa akiniambia yuko tayar kumwacha mke wa ndoa kwajili ya mamake(hajaoa bado)endapo mamake atasema amwache,au mwanamke akizingua kwajili ya mamake,nikaliweka moyoni.
Kingine yule mama alikuwa akifika anafikia gest, kijana yule kazi hazitafanyika atataka siku nzima ashinde gest kwa mamake mpaka sa6 usiku..mamake akipiga simu ananiambia nisiongee mamake asisikie saut ya kike..kilichonishangaza na kunipa maulizo,yule kijana ananyumba kubwa tu,kwanini yule mama asifikie kwa mwanae?
Kifupi mamake akitua tu,muda wa kukutana na kijana haupo...jaman,nikaona hapa sipawez nikachapa mwendo bila kuaga nikabadili na nr ya simu..Nashangaa yule kijana ananitafuta tena kupitia rafiki zake anadai ananihitaj,tisa kumi akapata nr na kunipigia ananiambia anataka kunioa...na mama yake sio kama kafariki bado yupo.hiyo ndoa si itakuwa shida.
Hebu nisaidien, huo upendo wa mama uko sahìhi?