princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,545
- 14,357
kwani uwongo unapajua MAyotteNaona watu wame-panic ile mbaya!! Eti muziki ingekuwa sauti angemsaini Wema Sepetu.... dah! Eti jamaa anapiga show sehemu ambazo wengine wameishia kuzisoma kwenye jiografia na historia tu.....
tatizo hamtaki kuambiwa ukweli!!!
anaongea hivo kwa sababu mnamchukulia poa sana.
halafu anafanya makubwa kuliko mnavyomchukulia..
akisema ukweli kesi