ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,543
- 44,687
Kimsingi maisha Ni mazuri na Sisi tunafurahia Sana kuzaliwa Tanzania na tumeuona ukweli wa Mambo toka tulipotoka na tunapokwenda.
Hakuna anayetuzuia kufanya mazoezi mida ya jioni,tunao Uhuru mkubwa wa kujipa uponyaji kwa kutoa jasho na sumu mwilini.Sijawahi kuona polisi anazuia mtu kufanya mazoezi.
Chakula kipo na kinapatikana kwa Bei rahisi sana.Unga wa ugali Bei yake imeongezeka kidogo Sana lakini mboga mboga mfano kabeji au matembere bei yake sokoni Bado Ni 500 kwa fungu.sijawahi kusikia fungu limeuzwa 2000.
Uhuru wa kutembea mahali popote upo hakuna anayezuia mtu kutembea hakuna polisi anayeonea mwananchi kwa sababu ya kutembea.
Wananchi tuna furaha Sana tunaiomba serikali ya awamu ya tano izidi kuiangalia kwa ukaribu sekta ya kilimo pamoja na sekta ya mawasiliano na uchukuzi.
Hakuna anayetuzuia kufanya mazoezi mida ya jioni,tunao Uhuru mkubwa wa kujipa uponyaji kwa kutoa jasho na sumu mwilini.Sijawahi kuona polisi anazuia mtu kufanya mazoezi.
Chakula kipo na kinapatikana kwa Bei rahisi sana.Unga wa ugali Bei yake imeongezeka kidogo Sana lakini mboga mboga mfano kabeji au matembere bei yake sokoni Bado Ni 500 kwa fungu.sijawahi kusikia fungu limeuzwa 2000.
Uhuru wa kutembea mahali popote upo hakuna anayezuia mtu kutembea hakuna polisi anayeonea mwananchi kwa sababu ya kutembea.
Wananchi tuna furaha Sana tunaiomba serikali ya awamu ya tano izidi kuiangalia kwa ukaribu sekta ya kilimo pamoja na sekta ya mawasiliano na uchukuzi.