... kumshukuru mungu kutoa dhabihu kwa mungu ...
Ilo kanisa halina mamlaka ya kuwasema wakristo. Jaribu kufikiria kwa makini ili uweze kutofautisha dini na dhehebu. Nina uhakika hukutaka kutaja jina la kanisa hilo la dodoma kwa kuwa ni ni moja ya haya makanisa ya waroho. Usiwahusishe wakristo wote kwa matendo na kauli zilizosemwa na moja ya makanisa ya waroho.Kuna wakati unaweza kuhisi umelogwa umeachwa mungu amekusau la hasha ni ufahamu na akili
kama umekuwa na ufahamu sisi ni wamiliki sisi ni wazao wa ibrahim..ndugu zanguni wakristo wengi
hapa naongelea wafanya biashara wengi wamekuwa awaendi kanisani kumshukuru mungu kutoa dhabihu
kwa mungu na badala yake wanashinda kwenye biashara mpaka jumapili ..sasa basi uwezi kutumikia
mabwana wawili kwa wakati mmoja...kuna kanisa moja dodoma wiki iliopita lilionyeshwa hili lililo
fanya wamechimba kaburi kubwa wakaandika herufi a-z na kuzinenea kama kuna wafanyabiashara wakristo wasioenda
kusali kanisani na kumshukuru mungu basi na biashara zao zikafie mbali zisiwepo kwenye ulimwengu huu
na kama unafanya kazi uendi kanisani basi kazi yako ikafie mbali na hivi ninavyoongea kama na wewe unahusika
kwe hili amka sasa jireekebishe shetan asikukamate ukamwacha mungu wako
kuna shida na matatizo yanawaingia wakristo sio kwamba wamelogwa ama una mapepo la hasha umemwacha mungu
na yeye anasema ukiniacha na mi ntakusahau...mkristo unatakiwa uwe busy na mungu ukitajika mkesha unapatikana
ukiitajika kwenye kujenga kanisa upo
ukawe strong in jesus name maisha yako yakabadilike in jesus name
Ilo kanisa halina mamlaka ya kuwasema wakristo. Jaribu kufikiria kwa makini ili uweze kutofautisha dini na dhehebu. Nina uhakika hukutaka kutaja jina la kanisa hilo la dodoma kwa kuwa ni ni moja ya haya makanisa ya waroho. Usiwahusishe wakristo wote kwa matendo na kauli zilizosemwa na moja ya makanisa ya waroho.
<br />pdiddy,mungu hunyesha mvua yake kwa wema na wabaya. kama mungu angehesabu maovu na muda tunaotumia kusali hakuna ambaye angesimama. na bible inasema 'nataka rehema, wala sio sadaka'. badala ya kuwaombea mungu aseme nao huko waliko unawaombea ubaya! masaa mawili kanisani,52 times a year, out of which nusu yake umevusha na robo umesinzia, is nt what entails all u have be it health, money or fame. ni favor tu ya mungu! hii mimi huita 'holier than thou' attitude! kushinda kanisani kutwa nzima hakukufanyi kuwa mkristo kuliko wengine