king vana
Member
- Apr 9, 2017
- 91
- 49
Juzi ndugu yangu alitumiwa hii meseji kwenye simu yake na namba ngeni. Akapiga yule mtu akasema amekosea namba. Lakini kwa kweli iliniuma sana nikamwambie amtumie tu. SIKUWAHI FIKIRIA KWAMBA KUNA WATU WANA MAKWAO ALAFU WANAKOSA CHAKULA KWA KWELI... Mungu ibariki Tanzania