Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 240
- 462
Niaje wakuu,
Nataka kuhamia Rwanda, shughuli zangu ni za kimtandao kwahiyo swala la kazi halina shida naweza ku-survive popote. Mambo yakoje huko kuhusu maisha ya kawaida ya kila siku, warembo, burudani, usalama nk?
Nataka kuhamia Rwanda, shughuli zangu ni za kimtandao kwahiyo swala la kazi halina shida naweza ku-survive popote. Mambo yakoje huko kuhusu maisha ya kawaida ya kila siku, warembo, burudani, usalama nk?