Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,605
Ndio muache kuwazalisha watu ovyo ovyo, nyie nyie ndio wakimbia mimba nyie nyie ndio msiotaka single moms
View attachment 1948147
Ndio muache kuwazalisha watu ovyo ovyo, nyie nyie ndio wakimbia mimba nyie nyie ndio msiotaka single moms
Nadhani sasa itafikia wakati mwanamke akizalishwa anamuua aliyemzalisha ili aweze kuolewa. Hii itasaidi mnaowazalisha na kuwaacha waweze kuolewa kiurahisi maana watawaeleza wachumba wao kuwa baba yake nishamuua hayupo duniani. Au siyo KaruceeBaba yake mtoto yuko wapi, waliachanaje na mama yake.? ukijiuliza hayo utajua pakuanzia
Nadhani ni bora waliozalishwa wawaue walowakataa ili akiulizwa aseme ashakufa! Binadamu tupo wa ajabu, tunapenda kula K bila ndomu na tukizalisha tunawaacha halafu sie tunataka single mother ambaye aliyemzalisha hayupo hai! Ajabu hiiKwa hiyo humu nyie wanaume wanawake wote mlowazalisha mmewaoa?
😂😂😂 wanaume wakatili sanaNadhani ni bora waliozalishwa wawaue walowakataa ili akiulizwa aseme ashakufa! Binadamu tupo wa ajabu, tunapenda kula K bila ndomu na tukizalisha tunawaacha halafu sie tunataka single mother ambaye aliyemzalisha hayupo hai! Ajabu hii
Kweli hatupo fair😂😂😂 wanaume wakatili sana
True1.Mwanamke hana shida na background ya mwanaume anashida na future yake..
2.Mwanaume hana shida na future ya mwanamke ana shida na background yake..
Ndiyo maana wanasema kila chochote hakikosi kasoro/mapungufu mkuu, muhimu angalia kama hiyo kasoro/pungufu unaweza kulivumilia endelea. Kuwa single maza haimaanishi huyo dada hajitambui/mhuni basi tu mambo yalitokea enzi za ujana. Anaweza kuwa wife material tu
Mamaeee 😂😂😂😂
Siwezi kupaniki kaka na hawa watu ninaokutana nao kwenye keyboard 🤣🤣Punguza jazba! Don’t take JF seriously
Tuna msemo wetu.. kuwa na mahusiano na single mother ni sawa na kunywa kinywaji kilicho nywewa na mtu mwingine kisha akakiacha nusu.Usingo maza usikufanye umuache
Nakuhakikishia hata angemuowa bikra huyo demu bado angemegwa na watu wengine, ni vile huyo aliyezaa naye tu ni simple option.Nna rafiki yangu yeye ana kisa kinachofanana na chako. Akajiroga akajitosa mzima mzima. Aise mpaka nilimuhurumia.
Alikutana na huyu single maza, kwa kweli alikuwa na bonge shepu matata ile nane iliyojichora na kakiuno kaduchu na mzigo kama wote.
Depend hiko.kinywaji kimeachwa katika hali gani.Tuna msemo wetu.. kuwa na mahusiano na single mother ni sawa na kunywa kinywaji kilicho nywewa na mtu mwingine kisha akakiacha nusu
Karibu.Aseee
Mkuu umenifunza kitu kikubwa leo, ngoja niagize heineken kadhaa kujipongeza.Jiulize ina maana huyo baba mtoto hakuona hizo sifa nzuri mpaka akaingia mitini? Shtuka bro unaigiziwa! Hakuna mwanaume anayeweza kumuacha mwanamke wife material tena mwenye mtoto wake! Huyo ni mali ya Kizega SACCOS