Maisha hayako fair, kuna muda unakutana na mwanamke ana sifa zote unazotaka lakini Single Mother

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,136
27,083
Kuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo hai😃😃

Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.

images

 
Kuna mambo yanaumiza sana moyo, unakutana na mdada unajisemea huyu ndiye niliyekuwa namuota siku zote, sifa zote unazopenda anazo pengine unamueleza hisia zako naye anakuelewa. Lakini kinachotokea unakuta kashazalishwa na mbaya zaidi baba mtoto bado yupo hai😃😃

Kuna muda mpaka unatamani ubebe kimya kimya tu, ila ukitafakari zaidi unaona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Hahahaha haya mambo unaweza ukampiga mtu mpaka ukapelekwa polisi
 
.....pole mkuu. Hicho ulichoona (kigezo Cha maumbile) ndio Mara nyingi kinawafanya wawe masingo mama. Wanakuwa viburi na micharuko kwa waliokuwa wamebahatika kuwa na ndoa kwa sababu ya kufuatwa fuatwa na wanaume wengi.

Wengine wanakuwa wadangaji na wengine wanafuata wanaume wenye pesa au mwonekano bila kuangalia future yao ikoje.
 
Back
Top Bottom