EeennhBashiru aliwahi hafi kumsema J.K hadharani, nawaonea huruma sana hawa kwasababu J.K huwa hasameheagi..
Kwa hiyo wataona rangi zote za msoga...Bashiru aliwahi hafi kumsema J.K hadharani, nawaonea huruma sana hawa kwasababu J.K huwa hasameheagi..
Haamini mambo yanayoendelea anahisi Kama yupo ndotoni, wanasema ukipanda kwa speed sana ufahamu kuwa utashuka kwa speed hiyohiyo.kwenye picha ukimuangalia bashiru na enzi za marehemu Jpm.
kweli maisha ni gwalideView attachment 2110094
Kwahiyo Jk hatakiwi kusemwa akikosea?Bashiru aliwahi hafi kumsema J.K hadharani, nawaonea huruma sana hawa kwasababu J.K huwa hasameheagi..
Atamfanya nini ?Bashiru aliwahi hafi kumsema J.K hadharani, nawaonea huruma sana hawa kwasababu J.K huwa hasameheagi..
Wakati wakiwa kwenye mchakato wa kumtafuta makamu wa rais baada ya mama kuapishwa mkwere alimaindi na kumfukuza kwenye kikao cha chama Bashir. Mkwere alisikika akisema na huyu jamaa anafanya nini humu ondoka.Bashiru aliwahi hafi kumsema J.K hadharani, nawaonea huruma sana hawa kwasababu J.K huwa hasameheagi..
Atamfanya nini ?
Hana tena hayo madaraka.Nenda kamuulize Mangula ni nani alimpeleka kijijini kulima nyanya mpk pale walipotaka kumtumia kumkata Lowassa ndipo wakamrudisha mjini alikua ni nani?
Hana tena hayo madaraka.
Sana nnungu chibiduChawa wa Magufuli wanatia Sana huruma.