Maisha halisi ya Watanzania waishio hapa Afrika Kusini

No doubt about that, kuna jamaa zangu weng wamezamia miaka ya 90 mwshon na 2000 mwanzoni lkn wanamaanisha duni balaa, kuna mmoja ana miaka 38 sasa lkn akirud TZ anaomba kwao hata hela ya chapat asubuh na alilazmisha kurud SA hakuwa na nauli ikabid baba yake ndo ampe nauli, wengine wamerud tz mpk unawaonea huruma kuwaangalia
 
Wakuu hao madogo mnawajulia wapi inaonekana wana insipire saana
Mkuu, hao madogo ni watu wa tofauti sana kulinganisha na sisi wabongo wengi. Unaweza kusema hao madogo wanaitendea haki dunia hii ya kiteknolojia ukilinganisha na mimi na wewe.

Wana mobile apps zao,wana machapisho yao online ambayo unayapata kwa kununua, na ukiwataka wapo hata linkedlin. Semina zao wanafanyia mpaka humburg.

Halafu pia ukiingia insta usiishie kuwa follow wakina shilole na mange kimambi tu.
 
Wengi wanaoenda south hata maisha bongo yamewashinda wengi nauli mpaka waibe ndio wakimbilie huko wengine mkumbo wa makundi tu na kule unyang'au ni wa kiwango cha juu kutokana na maendeleo pia kwa hiyo kama hujielew na hujui kilichokupeleka lazima upotee tu lakini tofauti na hapo utafanikiwa tu
 
Mkuu, hao madogo ni watu wa tofauti sana kulinganisha na sisi wabongo wengi. Unaweza kusema hao madogo wanaitendea haki dunia hii ya kiteknolojia ukilinganisha na mimi na wewe.

Wana mobile apps zao,wana machapisho yao online ambayo unayapata kwa kununua, na ukiwataka wapo hata linkedlin. Semina zao wanafanyia mpaka humburg.

Halafu pia ukiingia insta usiishie kuwa follow wakina shilole na mange kimambi tu.
Hahahahaa mkuu ulivyomalizia ni hatari.

How sure are you kwamba Niko insta??? Ngoja na Mimi nianze kuwafuatulia maana Mimi nataka nianze kujifunza kuhusu forex
 
Hahahahaa mkuu ulivyomalizia ni hatari.

How sure are you kwamba Niko insta??? Ngoja na Mimi nianze kuwafuatulia maana Mimi nataka nianze kujifunza kuhusu forex
Mkuu, hao wote tuliowaongelea wako insta. Ukienda kwenye page zao unakutana na websites ambazo zina taarifa za wanayoyafanya. Na ndio maana nikasema kama uko insta usiishie kuangalia picha za akina gigy money tu....hahaha
 
The more city inavyozidi kuwa modern ndio the more social and economic evil zinaongezeka.

Wale bushmen akina Xi wana maisha mazuri saana kule kijijini kwao kuliko wanaoishi hapo downtown kwa madiba.

Thank God! Sijawahi kuwaza kwenda south, napiga hela nyeupe za bila jasho kwa wakulima wa Maharage hapa karagwe.

Easy money!
Mkubwa nitakuja Kiseryewa najikusanya kidogo nitakucheki
 
Kama wananisoma hapa naomba warudi tuje tulime huku maeneo yapo mengi tu.
shida sio kulima..lakini ukiwa nyumabni kwako hata kama life ngumu sio mbaya tofauti na ukiwa ugenini....bora kulima sasa...kuuz karanga na visheti
 
Daaah! so sad, waje tu huku south sudan maisha poa tu, fursa kibao huku na michongo kibao tu ya pesa
 
Kuna shemeji zangu vijana wa Migomigo baada ya. kukaa huko hasa Cape Town waliishia misikitini kuomba misaada
Mwaka sasa tangu warudi lakini afya ya akili zao bado zimezorota
 
Ume 'narrate' vizuri sana. Hii ni kama zile nyuzi za NairaLand ambazo watu wanafunguka sana 'experiences' wanazokutana nazo wakisafiri. Zinaelimisha. Hongera, tunahitaji mijadala zaidi ya namna hii.
 
Asante sana mkuu kwa stori murua, hicho kipengele cha kusafisha rungu kwa strippers kimenisisimua kwelikweli. Mwe, raha duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom