King kiba..Rick Ross unayesema Watanzania tumemjua baada ya kufanya Ngoma na Naseeb Abdul ni yupi?
Ndio yule yule wa 9 Piece, Push it, Aston Martin, Sorry, So sophisticated?
Au kuna Rick Ross mwingine?
Mmmmhh hizi Kamba wee jamaa umejifunzia wapi hahaaaaaNgoma iliyomtambulisha sana ni ile aliyofanya na psquare sio hii ya waka waka
Mmmmhh hizi Kamba wee jamaa umejifunzia wapi hahaaaaa
King Kiba ndio nani?King kiba..
Labda wewe mzee mim namjua Ross tangu miaka ya 1998 namfuatilia kitambo sana huyu jamaa