Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,048
If China can do it hata Tanzania can. Tofauti ni kwamba zamani hatukuwa na marais makini, huyu tuliye naye hivi sasa hana mchezo....yeye anataka kutuletea maendeleo Tanzania na si vinginevyo.Wakuu habari za muda huu!
Tukiwa tunapokea matokeo kutoka sehemu mbalimbali ya Tanzania, ikionyesha CCM inashinda kila mahali kwa kura nyingi sana.
Mimi ni kijana nilizaliwa (1995) nilikuta mfumo wa vyama vingi vya siasa, katika somo ya Civics nimesoma kitu kimoja kinaitwa check and balance. Natafakari hapa maisha ya chama kimoja yatakuwaje.
Sina hakika kama kutakuwa na mbunge wa CCM anaweza kuikosoa serikali yake kwa utawala huu.
Ubeze usibeze upinzani una umuhimu wake katika kujenga taifa hasa katika kuibua maovu yanayofanywa na serilikali.
Naombeni mloishi miaka ya nyuma kidogo maisha ya chama kimoja yapoje nijiandae kuyapokea.