Maisha bwana, ukiwa mdogo raha sana kwakuwa unaletewa kila kitu

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,189
39,954
Maisha bhana, ukiwa mdogo raha sana kwa sababu unakuwa unaletewa kila kitu, ila ukiwa mkubwa sasa inabidi wewe utafute ndio uwaletee watoto na kujikimu mwenyewe.

Inafikia kipindi mambo yote yamegoma, unakopa huku na kule na kujaribu kupiga mizinga iwe kwa mwanamke au mwanaume ili tu watoto na wewe pia upate mahitaji yako ya lazima.

Kipindi hiki ndipo dada/wake zetu hutongozeka kiulaini, wanaume kuwa vibaka, kukata tamaa ya kuishi n.k

Je, ulishakutana na hiyo hali?
 
Kipindi kigumu hasa cha kukosa fedha kinahitaji uwe. Na mwanamke mwenye busara sana lasivyo unaweza ikimbia familia, kuuwa, au kukufuru kwa Mungu wako
Kweli mkuu, unaweza kuhisi dunia inakutazama wewe tu.
 
Kwa hyo mkuu unatamani siku zirudi nyuma ? Unatamani kuwa mtoto ?
Kama ingewezekana ingekuwa bora zaidi mkuu, hii inamaanisha kwa umri wamajukumu, bila kuwajibika lazima ulale njaa na kama unafamilia italala njaa pamoja na changamoto zingine za kimahusiano kuongezeka.
 
Kweli mkuu, unaweza kuhisi dunia inakutazama wewe tu.
na huku JF tukufte ukaanze chekechea, kujikojolea na kubadilishwa kaptula
uroda hakuna wala kujifichaficha kuonea mademu aibu hakuna
km utoto rudi mwenyewe labda usogee sogee 18yrs
 
Back
Top Bottom