Huyu Jakaya wakati anaomba ridhaa kwa Watanzania ili aingie ikulu aliahidi ataleta MAISHA BORA kwa kila Mtanzania. Lakini ukiangalia kinachoendelea sasa ni MAISHA DUNI kwa kila Mtanzania.
Nasema hivyo kwa sababu tangu aingie Ikulu vitu vimekuwa vikipanda bei kila kukicha. Kwa mfano mchele sasa unakimbilia kilo moja shilingi elfu mbili na miatano(2,500). Hiyo sukari ndio usiseme, kila siku inapanda bei.
Kama hiyo haitoshi,hapa juzi tu tayari bei ya umeme imepanda kwa 40 %. Kule Kigamboni napo bei ya Kivuko imepanda kwa 100%. Nauliza hivi, haya ni MAISHA BORA au MAISHA DUNI kwa kila Mtanzania ?
Nasema hivyo kwa sababu tangu aingie Ikulu vitu vimekuwa vikipanda bei kila kukicha. Kwa mfano mchele sasa unakimbilia kilo moja shilingi elfu mbili na miatano(2,500). Hiyo sukari ndio usiseme, kila siku inapanda bei.
Kama hiyo haitoshi,hapa juzi tu tayari bei ya umeme imepanda kwa 40 %. Kule Kigamboni napo bei ya Kivuko imepanda kwa 100%. Nauliza hivi, haya ni MAISHA BORA au MAISHA DUNI kwa kila Mtanzania ?