Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadae hizo picha ndio wataziwekwa kwenye ma-billboard wakati wa uchaguzi ili kuonyesha wanajali wananchi. Hapo ilitakiwa pawe na pump na hosepipes. Hivi hapo kwenye mind yake anawaza nini wakati amebeba hayo madumu ya maji ambayo ni mazito?!!
mawazo mgando
Tuonane October...
Labda itakutawala wewe, mamaako, dada zako, bibi yako, shangazi, zako, wifi zako, na ukoo wako mzima! Kwa Tanzania hata kuongoza haitaweza kuongoza milele ukiacha hiyo kutawala![Unafiki upi wenu huu....!!! CCM itaendelea kutawala Tanzania.[/COLOR][/B]