Itakuwa wewe ndo ulimfukuzisha.Kuna jamaa naish nae geto hapa naona maisha yanatupiga kweli na ukizingatia tumepoteza Kaz pomoja bas naoana kila siku anataja kuwa Yuko taayari kumnyoosha mtu aliyemfukusisha Kaz ...nawaza nimtimue hapa
Labda kwa vile wanalia, wateja wanaona uchuro huu.Naunga mkono hoja,..m mwenyew naon Bora nianze kutoa kafara..labda mafanikio ntayaona..huu Ni mwaka wa Saba..naimba na pia nachora ila sion matunda ya vipaji vyangu..aisee View attachment 1827106
Labda kwa vile wanalia, wateja wanaona uchuro huu.
Hebu Weka wakicheka?
Kubali tu mbona sie huku tunafuga nguruwe kwan? Nyie nao iyo si ni mifugo yenu!!!!!Muongo! ...
Hamridhiki mpaka muwapake ubaya?!
Umuue mamayako au mwanao kisa mali ...
Roho dhaifu .... Fisadi wa nafsi...
Tanga..bagamoyo..hayapo?!
Mizimu huku bara ndio kwao..na mizimu ni majini vilevile..
Tofauti majina tu..
Wapatikana wapi, unafundisha kuchora???Naunga mkono hoja,..m mwenyew naon Bora nianze kutoa kafara..labda mafanikio ntayaona..huu Ni mwaka wa Saba..naimba na pia nachora ila sion matunda ya vipaji vyangu..aisee View attachment 1827106
Wapatikana wapi, unafundisha kuchora???
Okay sawa, tupo mbali fundisha hicho kipaji mkuuDarasa Ni kwa watu wa karibu tu .sijaanza kuwa na online classes,kwa sasa npo tarakea. Karibu kabisa na snow cap
Okay sawa, tupo mbali fundisha hicho kipaji mkuu
Sio mlokole.... mimi mzaramoHoja hujibiwa na hoja!
Wewe ni mpumbavu kufikiri ya kwamba ni la kipumbavu!
Au wewe mlokole..
NONESENSENawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.
Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.
2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.
3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.
Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wewe unachofanya ni dhihaka na majibu yako toka kwa Mungu utayapataPamoja Sana ndg yangu..ngoja nikazane na maombi..huenda ipo siku mungu atanitambulisha kwa watanzania
nenda mbeya kuna kituo kinaitwa mwanahapa, halafu ulizia story za huyo mwanahapa mwenyeweTupe udhibitisho wa hao watu, unajua mkiitwa wapumbavu mtakasirika , unadhubutu kabissa kutaja mikoa na kuisingizia hio mikoa na wanaokufa kua ni kafara, leta udhibitisho hapa na sio porojo za manabii wenu na wachungaji
AiseeNawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.
Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.
2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.
3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.
Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Acha ujinga,Bill gate,Dangote wanatoa kafara gani?Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.
Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.
2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.
3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.
Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app