Maisha bila kafara hii ngoma haiendi, utaishia kusindikiza wenzako

Ukifail maisha inamanisha hata ubongo wako ulifika point ukafail kuthink
 
Naunga mkono hoja,..m mwenyew naon Bora nianze kutoa kafara..labda mafanikio ntayaona..huu Ni mwaka wa Saba..naimba na pia nachora ila sion matunda ya vipaji vyangu..aisee
FB_IMG_16243831066867825.jpeg
 
Kuna jamaa naish nae geto hapa naona maisha yanatupiga kweli na ukizingatia tumepoteza Kaz pomoja bas naoana kila siku anataja kuwa Yuko taayari kumnyoosha mtu aliyemfukusisha Kaz ...nawaza nimtimue hapa
Itakuwa wewe ndo ulimfukuzisha.

Why unaogopa maneno yake?

Sio poa Mkuu. Uliooona kwako pameharibika ukam snitch na yeye 🤣🤣🤣🤭🤭
 
Muongo! ...

Hamridhiki mpaka muwapake ubaya?!

Umuue mamayako au mwanao kisa mali ...

Roho dhaifu .... Fisadi wa nafsi...

Tanga..bagamoyo..hayapo?!

Mizimu huku bara ndio kwao..na mizimu ni majini vilevile..

Tofauti majina tu..
Kubali tu mbona sie huku tunafuga nguruwe kwan? Nyie nao iyo si ni mifugo yenu!!!!!

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri

Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.

Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.

2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.

3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.

Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
NONESENSE
 
Tupe udhibitisho wa hao watu, unajua mkiitwa wapumbavu mtakasirika , unadhubutu kabissa kutaja mikoa na kuisingizia hio mikoa na wanaokufa kua ni kafara, leta udhibitisho hapa na sio porojo za manabii wenu na wachungaji
nenda mbeya kuna kituo kinaitwa mwanahapa, halafu ulizia story za huyo mwanahapa mwenyewe
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri

Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.

Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.

2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.

3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.

Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Aisee
Mdogo mdogo tunapiga hatua upande upande sasa
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri

Wakuu nimeunganisha doti za sehemu tofauti tofauti ambazo either nimefanya kazi au biashara nimegundua karibu wote wenye mafanikio wanatoa kafara kwa shetani.

Mfano 1: Kuna Wachina niliwahi fanya nao kazi miaka kumi iliyopita ya barabara jamaa walikua kila hatua ya utengenezaji wanachinja mbuzi au kondooo.

2. Tukiachana na Wachina nikaja Dar kuna waturuki walikua maeneo ya Mwenge pale wanafanya decoration na finishing kwenye majumba niliwahi fanya kazi pale nao ilikua ikifika mwisho wa mwezi wanachinja mbuzi mlangoni pa kuingilia ofisini kisha wanapika nyama watu wanakula.

3. Mbali na hao Waturuki kuna kampuni moja kubwa sana ya mafuta mi nilijua maboss awana muda na izi mambo wana petrol station kibao za blue wao kila mwisho wa mwezi wanaboost na Ng'ombe kisha nyama wanapika wanapewa wafanyakazi.

Mwisho nikagundua kama wewe sio mshirikina sali sana unless or otherwise mafanikio utaishia kuyasikia tu kwa wenzako .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Acha ujinga,Bill gate,Dangote wanatoa kafara gani?
Diamond,Alikiba,Vunja bei,wanatoa kafara gani?Donald Trump ametoa kafara gani?
Chapa kazi wewe,acha janja janja
 
Wewe mpuuzi ndo unataka kuja Qatar na akili zako za kishamba hivi..!! Umenifata PM nimekugomea umeishia kunitukana ..siwezi kusaidia vichwa vibovu Kama vya kwako. ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom