Maisha bwana: Waliokata kuchangia harusi yangu leo hii nimeombwa niwachangie harusi yao

Suala la kuchangiana kwenye sherehe na harusi kwangu naona halipo Sawa, kama unaoa si ujipange mwenyewe ya nini kuumizana kwenye jambo linalokuhusu mwenyewe....Suala la michango ni muhimu kwenye maafa tu lakini si furaha....Jipange mwenyewe siyo kulipisha wengine utadhan tunashare huyo mke
 
Hivi hizo harusi ni lazima ???


Bila harusi kwani hamtazaa ???

Kama wewe unaona huna uwezo wa kumudu gharana za harusi achana nayo chukua partner wako kimya kimya maisha yanaenda


Tuchangiane kwenye mambo magumu kama vile mtu yupo hoi hospital,
anahitaji kufanyiwa operation na kesi zinazo fanana na hizo


Sasa mtu anataka tu sifa kwamba sherehe ilifana tunasumbuana maswala ya michango



Sasa watu wanaweka vinyongo mioyoni mwao kwamba flani hakunichangia na mm simchangii kwani unajua situation aliyokua nayo kwa wakati unaomba mchango



Tujifunze haya mambo ya kupenda visherehe sherehe yanaturudisha sana nyuma kiuchumi mfano wewe unajua huna uwezo unaenda kopa pesa kubwa plus kulazimishana michango ili tu sherehe ifanyike (na watu waseme sherehe ili fana ) afu inakuchukua mda mrefu kuweza kukamirisha madeni uliyo chukua Kisa harusi

Mambo mengine kabisa hayana ulazima
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Watendeeni mema wale waliowatendea mabaya ninyi..sio maneno yangu in bible
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Mkuu plide ndio nini, umeniacha

Back to the topic, nilidhani hizi changamoto zipo kwenye ukoo wetu tu, kumbe zipo kila mahali
 
Mie nilifanya harusi simple nikachangisha washkaji zangu wa jirani sana ambao hawakuzidi 20. Saizi naenjoy sana zinakuja kadi naziangalia tu hata mshipa haustuki. Kuna raha sana ukifunga harusi bila kuwachangisha watu wengine wanaogopa hata kuniletea kadi
 
Haya mambo ya mchango hata mm yamenikuta kuna marafiki wa karibu hawakunichangia pamoja na kuwa nawakumbusha wakati wa Harusi yangu walipotezea Rakini kuna mmoja anaomba nimchangie kwenye Harusi yake ila sitafanya hivyo na mm nimeamua kumpotezea
 
Huwezi jua nyakati unawaomba mchango walikuwa katika hali gani!

Kama uliwafuata wakasema kabisa kwa kinywa kuwa hawataki hapo sawa.....ila kama walipiga kimya ni ngumu kujua sababu ya wao kutochangia....
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Hata usipotoa harusi yao itafanyika tu kama yako ilivyofanyika, harusi haijawahi kufeli kwa sababu watu hawajachanga.
 
unajua sababu ya wao kutokukuchangia ilikuwa ni nini!?!
Japo si mfuasi wa kuchangia harusi, ila kwa utamaduni wa waTz wengi we fanya kuchanga tu, kikao si lazima uende labda kama unamda, na kwenye harusi jitahidi ufike ucheze na kucheza wakuone kuwa upo
Ajifanyishe eti huku awapendi, du!
 
Back
Top Bottom