Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 679
- 419
Wakati siasa imebanwa kwa upinzani CCM ilikuwa ina fanya shughuli zake za kisiasa kama kawaida hata kwa TV na kila anakopita.
😂He know the mess he did thats why whenever he talks about employment he always talking about how building these projects employs people.Nigga spent all of his saving on projects,cant even employ on official sector.Bwawa la umeme la Nyerere linakisiwa kugharibu Shilingi Trilioni 9.
Haya makisio yanasemekana ni ya chini na inaweza kuwa mara mbili yake.
Mradi huu unalipwa in $. Utalii ambao ni biggest earner wa $ upo chini for the next two years.
Donors watapunguza misaada na wengine hawatatoa kabisa. Sekta ya Afya na Elimu itapata shida.
Hapa kuna watu wanashangilia. Bado miradi mingine mingi ipo haijafikia hata 50%, mfano SGR.
Bado ATCL inahitaji ruzuku.
Tuliandika kitambo "umoja na amani haviletwi kwa mabavu" ikiwa hakuna maridhiano tutarajie utengano na chuki kutamalaki huku mitaani.Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.
Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani..
MmmmmhhhhTuangalie njia nyingine, kura haitawezekana
Media zimefungwa, unasikia tu habari ya upande wao tu, mpka unajiuliza kwani hawakuwa na upinzani??Hata wachambuzi nao wanajua kilichotokea ila jwa sababu ya hofu hawawezi kusema ukweli, uwoga/hofu.
Uko sahihiNimekuja kujifunza kitu muhimu sana. CCM na ule mkutano mkuu wao wa kuchagua wagombea wa nafasi ya Urais huwa ndio wenye maamuzi ya mwisho...
JK na Mfumo walifanya kosa kubwa sana 2015, yaani kosa kubwa sana kwa Taifa letu, naona giza mbeleKuna giza nene kwa Tanzania.
Mtu mmoja anaweza kuliangamiza Taifa, na mtu mmoja anaweza kuliokoa Taifa.....
Huna akili timamuKwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?..
Upinzani wa dizain hii bora ufutwe tu. Hauna maana yeyote acha watu wakipata akili labda utakuja upinzani wa maana ila huuu wa sasa ni utopolo tu.Kama unajua maana ya check and balance huwezi kushangilia haya matokeo...
komenti ya kimbwa mbwa kama1hii ndiyo tatizo la kukabithi vichaa nchi we will remember black 2015 for ever
Huna akili timamu
😂He know the mess he did thats why whenever he talks about employment he always talking about how building these projects employs people.Nigga spent all of his saving on projects,cant even employ on official sector.
Kwasababu miradi pia itakuja kutumika na watu wa njeWakandarasi wa hii miradi wote ni wa nje. Wafanyakazi wazawa wengi ni casual laborers tu.
Unakusanya kodi kwa asilimia kubwa kwa shilingi, miradi unalipa kwa dola kwa kampuni za kigeni....