Uchaguzi 2020 Maisha Baada ya Uchaguzi: CCM won the Battle and lost the War

Kama wasingeiba Kura kwa malaki hata wabunge watatu wasingepata.JAMBO moja muhimu wanajua kuwa kama si wizi wasingekuepo hapo.hawawezi tamba Tena etti miaka mia watatawala.
Bila wizi hata mbunge mmoja wasingepata
 
Kwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?

Upinzani kuongoza Hii Nchi bado Sana. Kama majimboni tu wameshindwa nchi wataiweza kweli Mkuu, Watanzania tumebarikiwa na Mungu, uwe na Imani na uongozi wa Magufuli Ila hao wabunge wenu huko majimboni ruksa kuwa doubt!
Umeandika usichokiamini! Hongera!
 
Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.

Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani.

CCM si chama cha siasa tena, CCM ni mfumo uliyoishikilia nchi hii mateka. Hamna tofauti na CCP China, Putin’s Russia, Kim’s Korea, Castro’s Cuba, Lukashenko’s Belarus, n.k. Mifumo ya kisoshalisti na kikomunisti iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

CCM kwanza, Tanzania baadae. Wakuu wa vyombo vya dola pamoja na wakuu wa majeshi wapo kulinda kwanza maslahi ya Mwenyekiti wa CCM kisha CCM na mwisho Tanzania.

Kwao adui wa Mwenyekiti wa CCM ni adui wa Tanzania. Adui wa Chama ni adui wa Tanzania.

Huu uchaguzi ni kichekesho kingine kama ilivyokuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015. Mawakala wa vyama vya upinzani wanakamatwa na kutolewa kwenye vituo. Kura feki kwenye mabegi na maboksi zinaingizwa kujumuishwa kwenye mahesabu.

Haya yanasimamiwa na wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa Usalama wa Taifa na wakuu wa mikoa. Nani mnamdanganya?

Majeraha ya Uchaguzi huu, tofauti na miaka mingine, ni mpasuko mkubwa na kuhatarisha umoja wa nchi.

Watu wameenda kupiga kura ili roho zao ziwe na amani tu, haijalishi mtaiba kura zao au la! Hii ni chuki kubwa imepandwa.

Kibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.

Ni rahisi kushangilia na kusema wameshinda na kuwagaragaza wapinzani.

Ni rahisi kwa wachambuzi wa mambo ya siasa kusema "Upinzani bado sana" au "Upinzani haukujipanga". Unabaki kujiuliza, kwa mazingira haya unategemea upinzani ujipange vipi ili kuwe na haki.

Media zote zimefungwa mdomo. Hakuna uchambuzi, sharia ni kusoma kile watawala wanataka basi.

Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.

Ipi gharama ya ushindi huu kwa CCM? Kupasua umoja wa nchi? Kutumia silaha na nguvu kuhalalisha ushindi hakukupi ushindi bali kunakuongezea maadui.

Mfano leo hii Kusini kuna tishio la Ugaidi bado tena unawaibia hao watu haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Wakuu wa Usalama na Ulinzi wanategemea nini?

Inasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekiti.

Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
Kikwete aliwatosa ma-best wake ili chama kisimfie mikononi mwake, lakini Magu kaua kabisa upinzani ili akilinde chama chake. Sasa tusisubiri mtu wa kuja kuiua nchi ili alinde maslahi ya chama chake.
 
Kwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?

Upinzani kuongoza Hii Nchi bado Sana. Kama majimboni tu wameshindwa nchi wataiweza kweli Mkuu, Watanzania tumebarikiwa na Mungu, uwe na Imani na uongozi wa Magufuli Ila hao wabunge wenu huko majimboni ruksa kuwa doubt!

Kwa kukodi majeshi kutoka Burundi na kulitumia jeshi la Tanganyika mumelazimisha ushindi kwa kuuwa watu

WALIOUWAWA NA POLISI ZANZIBAR WAONGEZEKA.

RIPOTI YA HALI YA MKOA WA MICHEWENI KWA USIKU WA JANA TRH 26/10/2020.

1.Hamad Khamis Hamad mkaazi wa Makundaani jimbo la Wingwi miaka 25 Amepigwa risasi ya Mkoni

2. Abdallah Nassor Mbarouk miaka 30 mkaazi wa Mchepewe jimbo la Wingwi Amepigwa risasi na amefariki dunia

3.Ali Said Kombo miaka 35 mkaazi wa Kinazini jimbo la Wingwi Amepigwa risasi ya Shingo

4.Hamad Amour Abdalla miaka 35 mkaazi wa Sizini jimbo la Wingwi amepigwa risasi ya paja na kutokea upande wa pili

5.Abdalla Hamad Miaka 34 mkaazi wa Tumbe Mbuyuni amefariki kwa kupigwa risasi

6.Mustafa Haji Shaame miaka 30 mkaazi wa Tumbe Kaliwa jimbo la Tumbe ni majeruhi amepigwa risasi

7.Masoud Salim Fadhil miaka 16 mkaazi wa Mafya jimbo la Wingwi amefariki dunia kwa kupigwa risasi ya Tumbo

8.Khator Kombo Bakar miaka 22 Mkaazi wa Shumba Mjini amekamatwa usiku wa jana huko Shumba Mjini

9.Shehe Mahmoud miaka 50 Mkaazi wa Chamboni Shumba Mjini nae pia alichukiliwa usiku wa jana.

Kombo Mwinyi Shehe.
Katibu wa haki za Binadam
Mkoa wa Micheweni kichama.
 
Kwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?

Upinzani kuongoza Hii Nchi bado Sana. Kama majimboni tu wameshindwa nchi wataiweza kweli Mkuu, Watanzania tumebarikiwa na Mungu, uwe na Imani na uongozi wa Magufuli Ila hao wabunge wenu huko majimboni ruksa kuwa doubt!
Definition of a stupid
KNOWING the truth
SEEING the truth
And still believing the LIES
Or trying to feed others the lies
 
Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.

Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani.

CCM si chama cha siasa tena, CCM ni mfumo uliyoishikilia nchi hii mateka. Hamna tofauti na CCP China, Putin’s Russia, Kim’s Korea, Castro’s Cuba, Lukashenko’s Belarus, n.k. Mifumo ya kisoshalisti na kikomunisti iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

CCM kwanza, Tanzania baadae. Wakuu wa vyombo vya dola pamoja na wakuu wa majeshi wapo kulinda kwanza maslahi ya Mwenyekiti wa CCM kisha CCM na mwisho Tanzania.

Kwao adui wa Mwenyekiti wa CCM ni adui wa Tanzania. Adui wa Chama ni adui wa Tanzania.

Huu uchaguzi ni kichekesho kingine kama ilivyokuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015. Mawakala wa vyama vya upinzani wanakamatwa na kutolewa kwenye vituo. Kura feki kwenye mabegi na maboksi zinaingizwa kujumuishwa kwenye mahesabu.

Haya yanasimamiwa na wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa Usalama wa Taifa na wakuu wa mikoa. Nani mnamdanganya?

Majeraha ya Uchaguzi huu, tofauti na miaka mingine, ni mpasuko mkubwa na kuhatarisha umoja wa nchi.

Watu wameenda kupiga kura ili roho zao ziwe na amani tu, haijalishi mtaiba kura zao au la! Hii ni chuki kubwa imepandwa.

Kibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.

Ni rahisi kushangilia na kusema wameshinda na kuwagaragaza wapinzani.

Ni rahisi kwa wachambuzi wa mambo ya siasa kusema "Upinzani bado sana" au "Upinzani haukujipanga". Unabaki kujiuliza, kwa mazingira haya unategemea upinzani ujipange vipi ili kuwe na haki.

Media zote zimefungwa mdomo. Hakuna uchambuzi, sharia ni kusoma kile watawala wanataka basi.

Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.

Ipi gharama ya ushindi huu kwa CCM? Kupasua umoja wa nchi? Kutumia silaha na nguvu kuhalalisha ushindi hakukupi ushindi bali kunakuongezea maadui.

Mfano leo hii Kusini kuna tishio la Ugaidi bado tena unawaibia hao watu haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Wakuu wa Usalama na Ulinzi wanategemea nini?

Inasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekiti.

Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
Umeandika points Sana, na Ukweli mtupu. CCM System, na inafanya kazi Sababu ya uwepo wa watu fulan hivi wasiojielewa. Watu wanaoamini bila CCM hii nchi haiwezi kuwepo.

Hawa ndo mtaji mkubwa sana wa CCM.
 
Umeandika points Sana, na Ukweli mtupu. CCM System, na inafanya kazi Sababu ya uwepo wa watu fulan hivi wasiojielewa. Watu wanaoamini bila CCM hii nchi haiwezi kuwepo.

Hawa ndo mtaji mkubwa sana wa CCM.
Naunga Mkono hoja100%.
 
Hamjaacha tu siasa maji mataka, CCM is here forever!
Sisi tumeacha siasa, nyie mmekumbatia siasa majitaka, tunawatakia kazi njema katika kuifanya Tanzania kama Canada ..wapinzan hawapo bungeni sasa tunatarajia kua wanannchi wote Tanzania watakua mabilionea mana wapinzani ndio walikua wanazuia Tanzania kua kama marekani na kuwafanya kua masikini
 
Sisi tumeacha siasa, nyie mmekumbatia siasa majitaka, tunawatakia kazi njema katika kuifanya Tanzania kama Canada ..wapinzan hawapo bungeni sasa tunatarajia kua wanannchi wote Tanzania watakua mabilionea mana wapinzani ndio walikua wanazuia Tanzania kua kama marekani na kuwafanya kua masikini


oyeee 😂 , unaongea kama unataka kulia
 
Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
CCM MPYA inasikitisha sana🙄
 
Navyoona ni kwamba kila mkti wa chama anatamani aendelee kama ilivyo kwa kina Mh.Mbowe pale CHADEMA, Mh.Mbatia kule NCCR , Lipumba kule CUF na wengine wengi. Sasa sijui kwanini huyu moja wa CCM ndo tunataka awapishe wengine wakati yeye ni mweneyekiti wa muda mfupi ladba for 10 years mpaka hapo 2025.
 
Hakuna aliyetegemea uchaguzi uwe wa huru na haki. Lakini hakuna aliyetegemea wizi uwe wa wazi na wa kijinga hivi.

Chama Cha Mapinduzi, kama chama kikongwe barani Afrika, kimethihirisha hakipo tayari kuachia madaraka kwa njia ya sanduku la kura. Si Bara wala si Visiwani.

CCM si chama cha siasa tena, CCM ni mfumo uliyoishikilia nchi hii mateka. Hamna tofauti na CCP China, Putin’s Russia, Kim’s Korea, Castro’s Cuba, Lukashenko’s Belarus, n.k. Mifumo ya kisoshalisti na kikomunisti iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

CCM kwanza, Tanzania baadae. Wakuu wa vyombo vya dola pamoja na wakuu wa majeshi wapo kulinda kwanza maslahi ya Mwenyekiti wa CCM kisha CCM na mwisho Tanzania.

Kwao adui wa Mwenyekiti wa CCM ni adui wa Tanzania. Adui wa Chama ni adui wa Tanzania.

Huu uchaguzi ni kichekesho kingine kama ilivyokuwa 1995, 2000, 2005, 2010 na 2015. Mawakala wa vyama vya upinzani wanakamatwa na kutolewa kwenye vituo. Kura feki kwenye mabegi na maboksi zinaingizwa kujumuishwa kwenye mahesabu.

Haya yanasimamiwa na wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa Usalama wa Taifa na wakuu wa mikoa. Nani mnamdanganya?

Majeraha ya Uchaguzi huu, tofauti na miaka mingine, ni mpasuko mkubwa na kuhatarisha umoja wa nchi.

Watu wameenda kupiga kura ili roho zao ziwe na amani tu, haijalishi mtaiba kura zao au la! Hii ni chuki kubwa imepandwa.

Kibaya zaidi tofauti na watangulizi wa nyuma, Rais Magufuli hajui na hawezi kuunganisha Taifa kwa kauli na matendo yake na amezungukwa na wabinafsi wa hali ya juu.

Ni rahisi kushangilia na kusema wameshinda na kuwagaragaza wapinzani.

Ni rahisi kwa wachambuzi wa mambo ya siasa kusema "Upinzani bado sana" au "Upinzani haukujipanga". Unabaki kujiuliza, kwa mazingira haya unategemea upinzani ujipange vipi ili kuwe na haki.

Media zote zimefungwa mdomo. Hakuna uchambuzi, sharia ni kusoma kile watawala wanataka basi.

Mediocrity (Sabaya, Makonda, Mambosasa, Polepole, Kabudi et al) is the order of the day. Short-termism is the norm.

Ipi gharama ya ushindi huu kwa CCM? Kupasua umoja wa nchi? Kutumia silaha na nguvu kuhalalisha ushindi hakukupi ushindi bali kunakuongezea maadui.

Mfano leo hii Kusini kuna tishio la Ugaidi bado tena unawaibia hao watu haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka. Wakuu wa Usalama na Ulinzi wanategemea nini?

Inasikitisha haya yanafanywa na tume iliyoundwa na Majaji na Wasomi. Haya yanasimamiwa na Majenerali wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Hii yote ni kumfurahisha Mwenyekiti.

Imemchukua Baba wa Taifa zaidi ya miaka 20 na Watanzania wamepitia sacrifices nyingi kujenga Umoja katika nchi hii.

CCM Mpya chini ya miaka 5, inafanikiwa kuvunja hii legacy na kujisifu wao ni wazalendo.

Nchi inaingia kwenye giza kubwa na kuishi mawazo ya mtu mmoja tu ambaye si mwerevu.

Taifa linaelekea kwenye mpasuko mkubwa tokea tupate Uhuru.
Ukipanda mchicha usitegemee kuvuna mahidi.
Walishaambiwa tokea kurudisha mfumo wa vyama vingi wapinzani wasikubali kuingia vyama vingi hadi pale itabadirishwa katiba na uchaguzi kusimamiwa na tume huru.
Kwa ujinga walipofushwa pale Kaborou kushinda ubunge Kigoma kupitia chama cha upinzani.
Tusema tu kuna maisha baada ya uchaguzi mkuu.
Siku wananchi au vyama vya upinzani watakapogundua umuhimu wa tume huru na kuacha kutumika kama viporo vya mabaki ya chakula ndio utakuwa mwisho wa porojo za siasa zisizo na tija.
 
Kwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?

Upinzani kuongoza Hii Nchi bado Sana. Kama majimboni tu wameshindwa nchi wataiweza kweli Mkuu, Watanzania tumebarikiwa na Mungu, uwe na Imani na uongozi wa Magufuli Ila hao wabunge wenu huko majimboni ruksa kuwa doubt!
Yale Yale ya kusifu na kuabudu mtu mmoja
 
Back
Top Bottom