Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Ukisha pata corona, basi unakua na kinga na hutapata tena.. unaweza jirusha utakavyo huna wasiwasi wala nini.
Jamani maisha tunaishi sasa ambao hatuna corona ni shida.. wasiwasi 24/7, mashaka na kuna wengi wanatest kama wanaoumua vizuri kama mimi hapa.
Kitu kidogo kikiuma mwilini hata usingizi hauji, unatamani unywe hata sanitizer.
Kungekuwa na uhakika wa kupona , hakinya nani ningejitolea kupata corona maana haya maisha ni shida.
Jamani maisha tunaishi sasa ambao hatuna corona ni shida.. wasiwasi 24/7, mashaka na kuna wengi wanatest kama wanaoumua vizuri kama mimi hapa.
Kitu kidogo kikiuma mwilini hata usingizi hauji, unatamani unywe hata sanitizer.
Kungekuwa na uhakika wa kupona , hakinya nani ningejitolea kupata corona maana haya maisha ni shida.