Maisha baada ya kuachwa

Hello?
Baada ya muda mrefu wa masikitiko ya kuachwa na aliyekua mpenzi wangu leo ninaandika nikiwa na furaha na amani.
Kiukweli nilipoachwa niliumia sana. Niliwaza, nikaomba msamaha, nikaomba ushauri huku na kule, nikaomba na kufunga ex wangu arudi. Na kweli, kumuomba misamaha na kuhangaika kumtafuta kila mara kulinifanya niache mlango wa yeye kurudi na kuondoka alipotaka.
Nilimpa uhuru huo. Alirudi mara kwa mara na aliondoka kila alipojisikia. Kwa kua nilimuonyesha kua sina upinzani juu yake.
Aliweza kununa pasipo na sababu ya msingi na kuniblock hata kama sijamkosea.
Mara ya mwisho, nilimwambia sihitaji tena mahusiano yasiyoeleweka. Kama ananipenda tutulie na kuweka malengo. Kama hataki tubaki marafiki tu. Kwa kua alijua sina upinzani nae tena, akaamua kuondoka. Akijua wazi nitamuomba msamaha na ataendelea na tabia ya kuja na kuondoka.
Nilikaa chini kujifikiria wapi nakosea. Kitu gani kinamfanya yeye anidharau nk.
Nikaamua jambo moja. Kufocus kwenye maisha yangu. Kutomtafuta tena katika maisha, kufanya mambo yangu ya msingi kwa ajili ya maisha yangu na kuhangaika na dreams zangu.
Tuna miaka mingi toka tulipokua pamoja. Katika muda wote huo haijawahi kutokea hatujawasiliana nae. Hata akiniblock nimezoea kumtafuta kwa msg au mitandaoni.
Nadhani alijua siwezi fika wiki 1 bila kumuomba msamaha.
Mungu amenisaidia. Amenipa marafiki na ndugu wanaonipenda. Kwa kiasi kikubwa nimeweza kuwa busy na kumsahau taratibu.
Baada ya wiki 2 yeye sasa ameanza kunisumbua kwa msg na calls.
Wadada na wakaka, ni lazima tujue thamani yetu kwanza kabla ya kutaka mtu baki akuthamini. Kosa langu lilikua kumuonyesha kuwa bila yeye siwezi ishi, Sina maisha mengine zaidi ya yeye. Thamani yangu nikaishusha. Maana kama anaweza kumpata yeyote, What makes me unique? Vipi aone thamani yangu wakati mwenyewe siioni?
Wale ambao mnapitia changamoto kama yangu, tafadhali jifunze kupitia mimi. Muda ni wa thamani. Kama hujashtuka mapema unaweza jikuta unakaribishwa kwenye harusi na mtu ambaye unadhani ndio mume wako. Ni bora akuache au akukubali ijulikane moja. Kukaa mguu ndani mguu nje inapoteza muda na kujibebesha shida tu. Nawasilisha.
Hongera kwa mwanzo mzuri wa kutambua thamani yako

Lakini wiki 2 ni mapema sana kushangilia ushindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello?
Baada ya muda mrefu wa masikitiko ya kuachwa na aliyekua mpenzi wangu leo ninaandika nikiwa na furaha na amani.
Kiukweli nilipoachwa niliumia sana. Niliwaza, nikaomba msamaha, nikaomba ushauri huku na kule, nikaomba na kufunga ex wangu arudi. Na kweli, kumuomba misamaha na kuhangaika kumtafuta kila mara kulinifanya niache mlango wa yeye kurudi na kuondoka alipotaka.
Nilimpa uhuru huo. Alirudi mara kwa mara na aliondoka kila alipojisikia. Kwa kua nilimuonyesha kua sina upinzani juu yake.
Aliweza kununa pasipo na sababu ya msingi na kuniblock hata kama sijamkosea.
Mara ya mwisho, nilimwambia sihitaji tena mahusiano yasiyoeleweka. Kama ananipenda tutulie na kuweka malengo. Kama hataki tubaki marafiki tu. Kwa kua alijua sina upinzani nae tena, akaamua kuondoka. Akijua wazi nitamuomba msamaha na ataendelea na tabia ya kuja na kuondoka.
Nilikaa chini kujifikiria wapi nakosea. Kitu gani kinamfanya yeye anidharau nk.
Nikaamua jambo moja. Kufocus kwenye maisha yangu. Kutomtafuta tena katika maisha, kufanya mambo yangu ya msingi kwa ajili ya maisha yangu na kuhangaika na dreams zangu.
Tuna miaka mingi toka tulipokua pamoja. Katika muda wote huo haijawahi kutokea hatujawasiliana nae. Hata akiniblock nimezoea kumtafuta kwa msg au mitandaoni.
Nadhani alijua siwezi fika wiki 1 bila kumuomba msamaha.
Mungu amenisaidia. Amenipa marafiki na ndugu wanaonipenda. Kwa kiasi kikubwa nimeweza kuwa busy na kumsahau taratibu.
Baada ya wiki 2 yeye sasa ameanza kunisumbua kwa msg na calls.
Wadada na wakaka, ni lazima tujue thamani yetu kwanza kabla ya kutaka mtu baki akuthamini. Kosa langu lilikua kumuonyesha kuwa bila yeye siwezi ishi, Sina maisha mengine zaidi ya yeye. Thamani yangu nikaishusha. Maana kama anaweza kumpata yeyote, What makes me unique? Vipi aone thamani yangu wakati mwenyewe siioni?
Wale ambao mnapitia changamoto kama yangu, tafadhali jifunze kupitia mimi. Muda ni wa thamani. Kama hujashtuka mapema unaweza jikuta unakaribishwa kwenye harusi na mtu ambaye unadhani ndio mume wako. Ni bora akuache au akukubali ijulikane moja. Kukaa mguu ndani mguu nje inapoteza muda na kujibebesha shida tu. Nawasilisha.
point out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzangu bado ana ujana mwingi. Haeleweki yani. Ukiongea nae unajua kabisa huyu ni comfused man. Nikamwomba tuweke malengo na tuheshimiane ndio kisa cha kunikimbia
Sababu ndio hiyo tu!

Maana kwa jinsi ulivyokuwa unamuomba misamaha ni kama vile kuna jambo la undani zaidi ambalo hutaki kufunguka.

Au kuna jambo zito ulimfanyia, ulimtendea?
 
Sababu ndio hiyo tu!

Maana kwa jinsi ulivyokuwa unamuomba misamaha ni kama vile kuna jambo la undani zaidi ambalo hutaki kufunguka.

Au kuna jambo zito ulimfanyia, ulimtendea?
Serious hakuna kitu nilichomtendea. Nimekua nae kipindi anaumwa, nimemjali kipindi hana lolote wala chochote. Lakini naona upole wangu ulimpa kiburi. Anaweza akaniblock 3 days sielewi kosa langu. Najishusha tu yaishe. Naweza omba msamaha mwenyewe sielewi kosa langu. Siku nilimuuliza uwa anapatwa na nini, mbona akipata pesa anakua tofauti. Akasema itakua ni ulimbukeni coz hakuna mbaya nimfanyiacho ingawa akinifanyia hayo uwa ananikumbuka sana kisha anasubiri nimuombe msamaha ndipo anarudi kwa gia hiyo.
 
Serious hakuna kitu nilichomtendea. Nimekua nae kipindi anaumwa, nimemjali kipindi hana lolote wala chochote. Lakini naona upole wangu ulimpa kiburi. Anaweza akaniblock 3 days sielewi kosa langu. Najishusha tu yaishe. Naweza omba msamaha mwenyewe sielewi kosa langu. Siku nilimuuliza uwa anapatwa na nini, mbona akipata pesa anakua tofauti. Akasema itakua ni ulimbukeni coz hakuna mbaya nimfanyiacho ingawa akinifanyia hayo uwa ananikumbuka sana kisha anasubiri nimuombe msamaha ndipo anarudi kwa gia hiyo.
Nimekuelewa sana MDAU.

Ahsante sana kwa kunifungukia kwa kina.

Pole kwa MADHILA yaliyokukuta.

Ubarikiwe sana
 
Niliwahi achwa mara moja tu na iliniuma sana, mara ya pili nikataka kuachwa nikajifanya mjinga kwisha kazi nikapona ila sikumuamini kabisa,ikatokea nikampata mpya kabisa tena bomba kuliko, hapo ndo alijua mbivu na mbichi mpaka leo najiuliza nilitaka nini pale. sintokaa nimuwaze zaidi ya hii post.
 
Duh
Serious hakuna kitu nilichomtendea. Nimekua nae kipindi anaumwa, nimemjali kipindi hana lolote wala chochote. Lakini naona upole wangu ulimpa kiburi. Anaweza akaniblock 3 days sielewi kosa langu. Najishusha tu yaishe. Naweza omba msamaha mwenyewe sielewi kosa langu. Siku nilimuuliza uwa anapatwa na nini, mbona akipata pesa anakua tofauti. Akasema itakua ni ulimbukeni coz hakuna mbaya nimfanyiacho ingawa akinifanyia hayo uwa ananikumbuka sana kisha anasubiri nimuombe msamaha ndipo anarudi kwa gia hiyo.
Duh! Poleee aisee
 

Similar Discussions

44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom