Si vizuri kuzichezea hisia za wenzetu, maumivu ya hisia zilizotendwa huwa ni makali sana. Ila wiki mbili ktk ulimwengu wa mahaba mahabuba bado ni muda mfupi sana. Kama kweli mmeachana basi hii ni faida kwenu wote wawili. Mkijarudiana na kuendelea kuwa pamoja, basi mtasumbuana sana hapo baadae. Akunyimae kunde..........