Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Kuna watu wanakufa wakiwa matajiri , viongozi wakubwa , maarufu na wanakuwa gumzo kila kila kona ya nchi /dunia. Jamii makundi kwa makundi hupaza sauti za kusikitika, kusononeka kila wakati zikieleza mazuri mengi ambayo mrefu amewahi kufanya au kuwa na mchango fulani mkubwa.
Kuna binadamu wengine wanakufa kifo cha kawaida, hakuna mstuko mkubwa , hawasemwisemwi , hawana reference yoyote wa mambo ambayo wameyafanya kwa ukubwa fulani at national /international levels.
Kwa hisia zako kama binadamu ,tofauti za maisha ya hawa watu baada ya kifo zikoje ?
Nderemo,huzuni na ushuhuda wa walimwengu utamfanya atalazwe mahala pema peponi kweli hata kama alikuwa na maovu yake?
Tujadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna binadamu wengine wanakufa kifo cha kawaida, hakuna mstuko mkubwa , hawasemwisemwi , hawana reference yoyote wa mambo ambayo wameyafanya kwa ukubwa fulani at national /international levels.
Kwa hisia zako kama binadamu ,tofauti za maisha ya hawa watu baada ya kifo zikoje ?
Nderemo,huzuni na ushuhuda wa walimwengu utamfanya atalazwe mahala pema peponi kweli hata kama alikuwa na maovu yake?
Tujadili.
Sent using Jamii Forums mobile app