MAINTAINING STATUS QUO??!!; Magogoni yamwapisha waziri asiye na wizara maalumu!

Kiganyi

JF-Expert Member
Apr 30, 2012
1,242
765

Waziri wa nchi katika ofisi ya Rais asiye na Wizara maalum Profesa Mark Mwandosya akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.Na watatu kulia ni Karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu.


Profesa Mwandosya akipokea miongozo ya kazi baada ya kula kiapo ikulu leo asubuhi.


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza na kumtakia mafanikio Profesa Mwandosya muda mfupi baada ya kumuapisha ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsaidia Waziri wa nchi katika ofisi ya Rais asiye na Wizara maalumu Profesa Mark Mwandosya kushuka katika ngazi za ikulu baada ya kumuapisha leo asubuhi.

Waziri Profesa Mark Mwandosya akiwa katika mazungumzo na Rais Dkt.Jakaya Kikwete muda mfupi baada ya kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)
 
Tufikirie uwezekano wa kuanzisha mabaraza ya watu wenye hekima, wanataaluma mbalimbali, viongozi wakuu wastaafu watakaokuwa washauri wa serikali katika masuala ya siasa, uongozi, sheria na taaluma mbalimbali.

Professor kwa namna alivyochoka angefaa sana kuwa katika moja ya mabaraza hayo.
 
Tufikirie uwezekano wa kuanzisha mabaraza ya watu wenye hekima, wanataaluma mbalimbali, viongozi wakuu wastaafu watakaokuwa washauri wa serikali katika masuala ya siasa, uongozi, sheria na taaluma mbalimbali.

Professor kwa namna alivyochoka angefaa sana kuwa katika moja ya mabaraza hayo.

Ileje kama ulikuwa kwenye mawazo yangu
na hivi utaratibu wa mtu kujiona kuwa jukumu alilopewa may be ni kubwa sana kwake kutokana na afya yake au kutokana na sababu nyinginezo akaukataa uteuzi huo kwa heshima
Maana Prof angekuwa kwa sasa anakaa anatoa machapisho may be ambayo hayamsumbui anajiamulia kufanya au kutofanya
Ila kwa kuwa hapa ni waziri asiye na wizara mhhh yote yawezekana tanzania yetu hii
 
Kwanini asingeanzisha Wizara ya Hospital ya Appolo angalau ingesimamia afya za viongozi wetu na ningependekeza Chami ,Mwakiembe au Mwandosiya aongoze Wizara hiyo
 
''ingekuwa ni vyema kama rais angeniacha nipumzike''--------kauli ya mwandosya
 
Tufikirie uwezekano wa kuanzisha mabaraza ya watu wenye hekima, wanataaluma mbalimbali, viongozi wakuu wastaafu watakaokuwa washauri wa serikali katika masuala ya siasa, uongozi, sheria na taaluma mbalimbali.

Professor kwa namna alivyochoka angefaa sana kuwa katika moja ya mabaraza hayo.
Hiyo nafasi aliyopewa ni sawa na baraza la ushauri tu. Rais ameona ni vyema amuweke karibu ili aweze kuchota ushauri na hekima kutoka kwa huyo mzee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom