tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,233
- 4,451
Kwa uzoefu wangu mdogo, tofali zenye uwazi katikati (Hollow Cement Block) zinatumika kwa uchache sana. Pamoja na faida zake nyingi, najiuliza ni kwa nini?
Sijaja kuleta shule ya faida. Hiyo waweza google kiganjani. Nauliza kwanini haitumiki sana.Faida zake "nyingi" ni zipi?
Hili lilimlenga engineer ambaye anajua faids zake. Sijaja kuleta shule ya faida. Hiyo mwaweza google kiganjani. Nauliza kwanini hazitumiki sana?Faida zake "nyingi" ni zipi?
Sisi zaidi ya kutumia kwenye ukuta hatuna matumizi mengine.
Hebu tupe kazi zingine tujifunze
Mleta mada mwenyewe hajui faida za hayo matofali...
Tupe hizo faida zake tuzijue huenda tukahamia huko.
sa mbona unatufokea?Sijaja kuleta shule ya faida. Hiyo waweza google kiganjani. Nauliza kwanini haitumiki sana.
Ukweli hizo zenye uwazi si imara
Na wewe swali lako ungelipeleka GoogleSijaja kuleta shule ya faida. Hiyo waweza google kiganjani. Nauliza kwanini haitumiki sana.
Hizo zinatumika sana DRC, na ni kupunguza gharama ya saruji, kwani kule ni bei kubwa sana, hata ghorofa wanajengea hizo, ila kwa uimala haiwezi kulingana na hizi zetu.Tumia kujengea nyumba yako utajuakwanini hayatumiki
Sababu kwanini hayatumiki sanaKwa uzoefu wangu mdogo, tofali zenye uwazi katikati (Hollow Cement Block) zinatumika kwa uchache sana. Pamoja na faida zake nyingi, najiuliza ni kwa nini?
Hata Zambia zinatumika sanaHizo zinatumika sana DRC, na ni kupunguza gharama ya saruji, kwani kule ni bei kubwa sana, hata ghorofa wanajengea hizo, ila kwa uimala haiwezi kulingana na hizi zetu.
HahahahahahaSijaja kuleta shule ya faida. Hiyo waweza google kiganjani. Nauliza kwanini haitumiki sana.
Umeongelea vyema saana mkuu. Isipokua namba 4. Void tu ni bad conductor of heat. Formula hiyo hutumika pia kwenye Chupa za chai(thermos ) ule uwazi wa ndani, huzuia joto la ndani kwenye nje au la nje kuingia ndani. Tofauti na Solid blocks ambapo joto la nje huingia ndani moja kwa moja kupitia ukuta.Sababu kwanini hayatumiki sana
1.Hayana uwezo wa kubeba mzigo mkubwa (Non load bearing wall)...