Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama kuna watu usiku huu hawatalala ni Mainjinia wa Maji na wilaya katika mikoa mbalimbali nchini, kauli ya Rais, Mama Samia kuwahusu itawakosesha amani kabisa hasa kama kwenye maeneo yao ya kazi kuna miradi inasuasua. Joto lao wengi litakuwa limevuka 37C..
Wengi wamezoea kufanya kazi kwa mazoea sana,wamezoea rushwa, wanawasumbua sana wananchi wanapowafuata maofisini mwao na wanausumbufu mkubwa wa nenda urudi baada ya wiki.
Kwanza, watapelekeshwa sana na Waziri maana nayeye ameshaambiwa akizingua, atazinguliwa.
Maji ni uhai, mama akifanya vizuri kwenye maji atawasaidia mama zetu kwa kiwango kikubwa sana maana kubaadhi ya maeneo kuna shida kubwa sana ya maji.
Na kazi iendelee......
Kama kuna watu usiku huu hawatalala ni Mainjinia wa Maji na wilaya katika mikoa mbalimbali nchini, kauli ya Rais, Mama Samia kuwahusu itawakosesha amani kabisa hasa kama kwenye maeneo yao ya kazi kuna miradi inasuasua. Joto lao wengi litakuwa limevuka 37C..
Wengi wamezoea kufanya kazi kwa mazoea sana,wamezoea rushwa, wanawasumbua sana wananchi wanapowafuata maofisini mwao na wanausumbufu mkubwa wa nenda urudi baada ya wiki.
Kwanza, watapelekeshwa sana na Waziri maana nayeye ameshaambiwa akizingua, atazinguliwa.
Maji ni uhai, mama akifanya vizuri kwenye maji atawasaidia mama zetu kwa kiwango kikubwa sana maana kubaadhi ya maeneo kuna shida kubwa sana ya maji.
Na kazi iendelee......